prettykind21
Member
- May 16, 2023
- 99
- 164
.
ni kamabei gani hii?Utapokea 10% tuu hata kma unao watoto 60
ni kamabei gani hii?
Kama laki 2 na 40 ww nayo ni baada ya kupima DNA maana point kubwa mwanaume anafnya ivyo ili umpe watoto wake
Hakuna formula kaka, maana waweza fika pale ukaeleza Una mshahara huo ukatoa Mgao kama hivi;Naombeni mnisaidie mahakamani huwa wanafanya mchanganuo gani ili baba wa mtoto aweze kutoa matumizi kwa mtoto mfano napokea milioni mbili laki nne mtu anaweza ambiwa atoe shingapi kwa watoto wawili? nisaidieni mwenye kuelewa
Hakuna formula kaka, maana waweza fika pale ukaeleza Una mshahara huo ukatoa Mgao kama hivi;
1. Wazazi wako Kijijini laki 2.
2. Watoto 4 walioko Songea laki 2.
3. Kodi ya Nyumba laki 3
4. Matumizi yako monthly laki 9
5. Marejesho ya SACCOS Laki 5
6. Blaa blaaa blaa laki 3.
From there unamuomba muheshimiwa akukubalie uwe unampa laki 1 kila mwezi au chini ya hapo kwa matunzo ya watoto, fanya yote hayo ukijua huyo mwenza wako ana kipato chake ambacho unajua anaweza kulea watoto sawa sawa kama unajua hana kipato wala usimbane sana mpe hata laki 3. Lakini kama ni wale wa kuishi kwa Mobeto style andaa ushahidi jinsi unatumia huo mshahara hadi unaisha ataishia kupata elfu 80 kwa mwezi.
Kikubwa andaa akaunti maalumu za hao watoto uzimentain kila mwezi siku wakiwa na Umri sahihi unawachukua toka kwa huyo chuma ulete wanainjoy maisha.
ni kamabei gani hii?
Kwa kifupi dada fanya mambo yako tuu child support zipo ulaya uku bongo utapewa elf 80 na hapo kidume kinasema nitalipa ada unatoka elf 80 utapokea 30 au hta buku 7
Kupima DNA kivp mkuu?Kama laki 2 na 40 ww nayo ni baada ya kupima DNA maana point kubwa mwanaume anafnya ivyo ili umpe watoto wake