Naomba kujua kuhusu Usalama wa taifa

Naomba kujua kuhusu Usalama wa taifa

mopee9

Member
Joined
Jul 24, 2019
Posts
32
Reaction score
40
Naomba kwa anayejua anifafanulie maana ya usalama wa taifa nini? Je, ni viongozi wa juu au nini? maana utasikia kama Mh Rais anaenda sehemu unaambiwa usalama wa taifa umejaa sehemu hiyo sasa kama hakuna kiongozi anakuwa sehemu fulani usalama wa taifa haupo au vipi? naomba kwa anayejua ABC's anitoe tongotongo. kama hujui tafadhali usisema kitu hapa.
 
Usalama wa Taifa ni topic pana inayojumuisha Usalama wenyewe, Uchumi, Siasa,Utamaduni, Michezo, Historia nk nk..
Ila hapa kwetu Afrika hususan Tanzagiza usalama wetu umekita zaidi ktk kuwalinda viongozi hasa wa chama tawala ili wasitoke madarakani.

Usalama ungeweza kutumika kibiashara, kiuchumi nk nk ila hayo si kipaumbele chetu sisi ni kuchunguza tu wapinzani wanafanya nn wanapanga nn tuwazuie ili wasifanikishe mipango yao ya kujijenga kisiasa basi..ila tunaweza kutanua goli zaidi hiki...
 
Kuna usalama wa taifa kwa nchi kama uingereza na nchi kama China au Zimbabwe au hata Uganda na Burundi.
Kule uingereza usalama wa taifa haujali chama au mtu fulani. Pale uko kumlinda muingereza wa kawaida awe salama na aendelee na maisha yake. Watamlinda muingereza popote pale alipo duniani. Njoo Korea kaskazini au Burundi. Usalama wa taifa kwao ni kuchunguza wapinzani wamekula nini wanavuta sigara gani wanatembea na wanawake gani na kuwafungulia wapinzani kesi za urongo.

Hapa kwetu usipime. Wako ngangari kukulinda wewe na mali zako. Ufahamu kwamba Tanzania hata mkeo au mwanao anaweza kua usalama na wewe usijue. Hata mahouse gel. Sasa leta za kuleta za kibeberu ndio utajua kijana wako wa mbuzi ni ofisa mkubwa tu usalama.
 
Kuna usalama wa taifa kwa nchi kama uingereza na nchi kama China au Zimbabwe au hata Uganda na Burundi.
Kule uingereza usalama wa taifa haujali chama au mtu fulani. Pale uko kumlinda muingereza wa kawaida awe salama na aendelee na maisha yake. Watamlinda muingereza popote pale alipo duniani. Njoo Korea kaskazini au Burundi. Usalama wa taifa kwao ni kuchunguza wapinzani wamekula nini wanavuta sigara gani wanatembea na wanawake gani na kuwafungulia wapinzani kesi za urongo.

Hapa kwetu usipime. Wako ngangari kukulinda wewe na mali zako. Ufahamu kwamba Tanzania hata mkeo au mwanao anaweza kua usalama na wewe usijue. Hata mahouse gel. Sasa leta za kuleta za kibeberu ndio utajua kijana wako wa mbuzi ni ofisa mkubwa tu usalama.
Hamna kitu hapo acha kutulisha pumba wew.
 
Naomba kwa anayejua anifafanulie maana ya usalama wa taifa nini? Je, ni viongozi wa juu au nini? maana utasikia kama Mh Rais anaenda sehemu unaambiwa usalama wa taifa umejaa sehemu hiyo sasa kama hakuna kiongozi anakuwa sehemu fulani usalama wa taifa haupo au vipi? naomba kwa anayejua ABC's anitoe tongotongo. kama hujui tafadhali usisema kitu hapa.
Aiseee chaliiyangu ndio sisi. Mambo yakutuchunguzachunguza hatupendi. Umepata wapi ujasiri wa kutuchunguza? Huo uthubutu tu wa kuanzisha thread kutuhusu umeutoa wapi? Acha tukutafute sasa utueleze vizuri.
 
Back
Top Bottom