Naomba kujua kuhusu kilimo cha Mlonge

Mandison

Senior Member
Mar 10, 2017
191
109
Habari wana JF.
Naomba kufahamishwa kuhusu kilimo cha mlonge. Je, unastawi katika udongo wa aina gani, matunzo yake, namna ya kupata mbegu zake pamoja na soko lake.
 
Habari wana JF.
Naomba kufahamishwa kuhusu kilimo cha mlonge. Je, unastawi katika udongo wa aina gani, matunzo yake, namna ya kupata mbegu zake pamoja na soko lake.
Wasome hawa jamaa wapo Morogoro...

 
Angalia tusije kukuita boss milonge,Mana Kuna jama mmoja alidanganywa kwenye semina ya wazee wa fursa akalima michaichai
alibaki nayo na kilio kikubwa
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…