intelligent gal
New Member
- Dec 13, 2019
- 1
- 0
Kuna chuo kina wahuni wameniandikia GPA 3.79 afu wakanambia GPA hainaga approx! Wamenifutia ndoto yangu ya kuwa MKUFUNZI, sasa nimekuwa MCHAFUZI!
Sent using Jamii Forums mobile app



Chukua grade za ufaulu wako,kila moja ina point zake zidisha na units jumlisha kisha gawanya kwa total units utapata wastan ndo GPA hyo.
DuhMimi nimepata GPA ya 1.0
Jameni si Ndio kubwa kuliko maana namba moja sio mchezo
Naweza kuwa Padre kwa Point hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna chuo kina wahuni wameniandikia GPA 3.79 afu wakanambia GPA hainaga approx! Wamenifutia ndoto yangu ya kuwa MKUFUNZI, sasa nimekuwa MCHAFUZI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili uwe mkufunzi unahitaji GPA ya 3.5 ndoto haijafa boss