Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
Salam,
Kuuliza si ujinga coz najua kuwa technolojia inakuwa kwa kasi na misamiati ianongezeka kwa speed ya ajabu.
Nimeona kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kila bandiko lenye uelekeo wa kisiasa na haswa zinazohusu mkoa wa Dar es salaam, kunakuwa na coment yenye herufi mbili tu yaani "DB". Naomba kujua je herufi hizi zinasimama badala ya neno gani, na ni nini matumizi yake??
Natanguliza shukrani.
Kuuliza si ujinga coz najua kuwa technolojia inakuwa kwa kasi na misamiati ianongezeka kwa speed ya ajabu.
Nimeona kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kila bandiko lenye uelekeo wa kisiasa na haswa zinazohusu mkoa wa Dar es salaam, kunakuwa na coment yenye herufi mbili tu yaani "DB". Naomba kujua je herufi hizi zinasimama badala ya neno gani, na ni nini matumizi yake??
Natanguliza shukrani.