Naomba kujua gharama za matibabu ya Appendicitis

Pole sana mkuu....
Wakati unapambania tatizo lako, pia mimi na familia yangu tunakuombea ili upate tiba na mpone haraka...😔
 
Habari wana JamiiForums naomba msaada kwa yeyeto anaye jua gharama za matatibabu ya appendix
Habari
Pole kwa kuumwa.
Ni kweli kwamba matibabu kwa vituo vya afya gharama zake zinatofautiana sana.
Kutoka vile vya serikali na levels/kiwango cha kituo husika na daktari mhusika yaani qualifications. Na wapi walipo.

Lakini pia kwa vile vya private, levels ya kituo husika daktari mhusika na wapi kilipo.

Pia ni vyema kufahamu kuwa matibabu hutegemea na hali ya mgonjwa:

1: Kuna mgojwa daktari atamfanyia conservative management, yaani kumpatia dawa na kumwangalia atakavyoendelea hii ni kulingana na hali ya mgonjwa.

2: Kuna mgonjwa wa kufanyiwa operation kwaajili ya hiyo appendicitis.

3: Kuna mgonjwa mwenye appendicitis iliyokaa zaidi ya siku nne. Utaratibu wake unaweza kuwa tofauti kama itakuwa imefanya kitu kama jipu kubwa.

Kifupi itategemea wapi ulipo, kituo cha afya cha serikali au private, kiwango cha kituo, daktari husika na hali yako. Na kama kuna magonjwa mwambata kama sukari au pressure.

Matibabu mema.
 
Habari
Pole kwa kuumwa.
Ni kweli kwamba matibabu kwa vituo vya afya gharama zake zinatofautiana sana.
Kutoka vile vya serikali na levels/kiwango cha kituo husika na daktari mhusika yaani qualifications. Na wapi walipo.

Lakini pia kwa vile vya private, levels ya kituo husika daktari mhusika na wapi kilipo.

Pia ni vyema kufahamu kuwa matibabu hutegemea na hali ya mgonjwa:

1: Kuna mgojwa daktari atamfanyia conservative management, yaani kumpatia dawa na kumwangalia atakavyoendelea hii ni kulingana na hali ya mgonjwa.

2: Kuna mgonjwa wa kufanyiwa operation kwaajili ya hiyo appendicitis.

3: Kuna mgonjwa mwenye appendicitis iliyokaa zaidi ya siku nne. Utaratibu wake unaweza kuwa tofauti kama itakuwa imefanya kitu kama jipu kubwa.

Kifupi itategemea wapi ulipo, kituo cha afya cha serikali au private, kiwango cha kituo, daktari husika na hali yako. Na kama kuna magonjwa mwambata kama sukari au pressure.

Matibabu mema.
Asante Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom