Naomba kujua bei ya Urais

Naomba kujua bei ya Urais

dume

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2007
Posts
310
Reaction score
150
Wandugu wapendwa

Mwaka huu wa uchaguzi tumeshuhudia watu wakimwaga mabilioni kuhakikisha wanakwenda ikulu. Na hata pale walipokatwa bado wanaendelea kumwaga mabilioni kuhakikisha lazima wanafika ikulu

Hii imefanya niamini kua Urais unaweza kununuliwa, hivyo ningeomba mnipe bei ya Urais ili na mimi nijaribu kuunua kwa kupitia ACT
 
Itabidi tuwaulize MTEI na MBOWE kwani wao nio walinegotiate bei na Lowassa. Si unajua hao ndio wenye chama. Au Pasco atakuwa anajua, ngoja aje atuambie. Kwani mkuu na wewe ulikuwa unataka kuununua?
 
Wandugu wapendwa

Mwaka huu wa uchaguzi tumeshuhudia watu wakimwaga mabilioni kuhakikisha wanakwenda ikulu. Na hata pale walipokatwa bado wanaendelea kumwaga mabilioni kuhakikisha lazima wanafika ikulu

Hii imefanya niamini kua Urais unaweza kununuliwa, hivyo ningeomba mnipe bei ya Urais ili na mimi nijaribu kuunua kwa kupitia ACT
Nitumie Laki mbili ya vocha nikutajie bei.
 
Wandugu wapendwa

Mwaka huu wa uchaguzi tumeshuhudia watu wakimwaga mabilioni kuhakikisha wanakwenda ikulu. Na hata pale walipokatwa bado wanaendelea kumwaga mabilioni kuhakikisha lazima wanafika ikulu

Hii imefanya niamini kua Urais unaweza kununuliwa, hivyo ningeomba mnipe bei ya Urais ili na mimi nijaribu kuunua kwa kupitia ACT

Kuna mahala ulikuwa 10 Billion sema umechelewa kama siku
chache sana kwani wenzio "vijana wa mjini" washakuwahi
ila kwa ACT andaa kama 10 Million tu ....utalamba dume.
ila kwa
 
Wandugu wapendwa

Mwaka huu wa uchaguzi tumeshuhudia watu wakimwaga mabilioni kuhakikisha wanakwenda ikulu. Na hata pale walipokatwa bado wanaendelea kumwaga mabilioni kuhakikisha lazima wanafika ikulu

Hii imefanya niamini kua Urais unaweza kununuliwa, hivyo ningeomba mnipe bei ya Urais ili na mimi nijaribu kuunua kwa kupitia ACT

Bei maelewano kaongee na Zitto Kabwe mwenye chama
 
Ccm unauzwa bei gani? Huwa mnautaratibu wakurudisha chenji?
 
Ccm unauzwa bei gani? Huwa mnautaratibu wakurudisha chenji?

Hatuuzi hata kwa bei gani ndio maana Magufuli hajatoa hata thummuni alicholipa ni gharama ya kuchukua fomu tu ambazo hata mkulima wa kigoma alilipa hizo hizo kuchukua fomu ya kugombea uraisi.
 
Bei ya uiraisi ni hikma busra elimu upendo huruma upole uamuzi watu na Mwanzo kabisa Maandishi ya Mola.
 
Back
Top Bottom