Naomba kujua alipo mwanaCCM Jerry Silaa

Jerry Slaa, alipata pigo sana hasa kwa kufiwa na Babake mzazi kwenye ile ajali ya helkopter ilomuua Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe. Kumbuka Captain Slaa, alikuwa Babake Jerry Slaa.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu aliendelea na kampeni za uchaguzi nahisi aliumia zaidi kukosa ubunge kuliko kufiwa na baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Meya aliyevunja rekodi ya kuwadhulumu Mama lishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…