Samson mwigamba alikuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha, wakamuogopa kwa sababu ya elimu yake kubwa wakidhani atawanyang'anya madaraka, sasa ni katibu mkuu wa ACT
Samson mwigamba alikuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha, wakamuogopa kwa sababu ya elimu yake kubwa wakidhani atawanyang'anya madaraka, sasa ni katibu mkuu wa ACT
Hivi watanzania tuwaamini vp watu ambao ndani ya mwaka moja ameshakuwa kiongozi vyama viwili tofauti? Na yule mwenyekiti wa ACT naye tunaambiwa ni Katibu mkuu wa ADC, kuna vituko tanzania