mournyrutta
Member
- Sep 15, 2016
- 51
- 11
Habari zenu hao TCU hawajafungua hiyo third round kama walivyokua wanasema?naombeni majibu coz hata hao wengine wanapata shida kuona vyuo walivyochaguliwa sijui hii nchi ikoje watu hadi wanavunjika moyo wakusoma naombeni jibu wana JF