Naomba kufahamu

Naomba kufahamu

mournyrutta

Member
Joined
Sep 15, 2016
Posts
51
Reaction score
11
Habari zenu hao TCU hawajafungua hiyo third round kama walivyokua wanasema?naombeni majibu coz hata hao wengine wanapata shida kuona vyuo walivyochaguliwa sijui hii nchi ikoje watu hadi wanavunjika moyo wakusoma naombeni jibu wana JF
 
Kama una mkwanja na mkopo hutaki nenda direct chuo cha private unapata nafasi
 
yaan awa jamaa sijui wanatak nn yaan dah wanatuumiza San yaan adi open univasity nao lao moja yaan
 
Yeah inawezekana n
Mfano MUM unapiga sim ukiwa home w
Unawatumia details zako zote bure,, na mwaka huu wanatoa mkopo kwa waliokosa mkopo toka loan board ,,, kama vipi nicheck kwa 0672385724 nikufahamishe zaid
 
Kama una mkwanja na mkopo hutaki nenda direct chuo cha private unapata nafasi

Nadhani kutokana na mfumo huu Wa CAS hata private huwezi kudahiliwa bila kupitia huko.

Kwa ninavyoona kunamikanganyiko Mingi sana Kwa sasa hawa utaratibu na mipangilio ya elimu. Maamuzi yanayofanywa yanalengo zuri kila namba ya kuendea utaratibu ndo mtihani.
Waliopewa dhamana ya kusimamia hapana meno ya kuamua jambo mpaka viongozi wakuu Wa kiserikali na kisiasa watoe maelekezo. Na ilivyo hakuna aliyetayari kuamua jambo hata Kwa utashi mpaka aulize huko juu, hii inapelekea ucheleweshaji Wa maamuzi, na inadumaza ufikiri Wa watendaji.
 
Hiyo third round ni kwa wale waliopita diploma au na kwa ss form six coz nimebakiza chuo cha mzumbe tyu kweny second round, hapa hofu hofu
 
Back
Top Bottom