Naomba kufahamu kuhusu navigation

Naomba kufahamu kuhusu navigation

Awakener The Lone Wolf

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2018
Posts
251
Reaction score
219
Kama kichwa cha habari kilivyo wataalamu wa bahari wanisaidie kuhusu ajira za navigation na chuo gani wanafundisha kwa hapa Tanzania na mambo mengine yote yanayohusu husu hiki kitu mtakuwa mmenisaidia sana
 
Kama kichwa cha habari kilivyo wataalamu wa bahari wanisaidie kuhusu ajira za navigation na chuo gani wanafundisha kwa hapa Tanzania na mambo mengine yote yanayohusu husu hiki kitu mtakuwa mmenisaidia sana

Kozi za navigation zinafundishwa kwenye Chuo kinaitwa DMI kipo karibu na Azam marine.

Kiufupi kozi za navigation ni nzuri sema tu tatizo linakuja ikifika kipindi cha field hiyo kuipata ni pasua kichwa asikuambie mtu.Tafuta information kamili utanishukuru baadae.
 
Kozi za navigation zinafundishwa kwenye Chuo kinaitwa DMI kipo karibu na Azam marine.

Kiufupi kozi za navigation ni nzuri sema tu tatizo linakuja ikifika kipindi cha field hiyo kuipata ni pasua kichwa asikuambie mtu.Tafuta information kamili utanishukuru baadae.
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom