Punga
1 kuota mfano upepo, jua au moto.
Yaani unakaa tu ili upepo ukupulizie, jua likuwakie au upate joto la moto.
2 kuaga, kupungia mkono, au kusalimia, mfano wanasiasa wanapopita kwenye umati wa watu, wakiyumbisha mkono.
Popoma
Sidhani kama ni neno la Kiswahili.