Naomba kufahamu kuhusu Chrome Operating System

kwani haiwezi kukaa kwenye c mpaka partion yake
Anacho kimaanisha chief ni kwamba kama pc yako ina partition basi isi install kwenye partition yenye window install kwenye partition nyingine na kwenye kuchagua space mfano 4Gb ,8Gb hakikisha kweli ipo hiyo space utakayo chagua.
Baada ya kuzima na kuiwasha uwe mvumilivu tu ikimaliza itawaka na itakutaka uchague lugha basi hapoutakuwa ume maliza binafsi nilisha fanikiwa. Ni simple sana.
 

mkuu na mimi nimekuwa na tatizo hilo sijajua inachukua muda gani mpaka kurudi
 

Chief na mimi nimepata tatizo kama la bwana hapo juu,siioni ikifunguka baada ya kuinstall wala icon yake phoenix siioni iko wapi ,natumia window 8.1
 
Chief na mimi nimepata tatizo kama la bwana hapo juu,siioni ikifunguka baada ya kuinstall wala icon yake phoenix siioni iko wapi ,natumia window 8.1
hio ni full operAting system na sio app utahitaji kuzima computer then ikiwaka utapewa option mbili either kuboot kwenye android (phoenix os) au windows 8.1
 
hio ni full operAting system na sio app utahitaji kuzima computer then ikiwaka utapewa option mbili either kuboot kwenye android (phoenix os) au windows 8.1
chief nikiwasha inaniandikia hivyo, verification failed, access denied naweza kurekebisha wapi mkuu?
 
chief nikiwasha inaniandikia hivyo, verification failed, access denied naweza kurekebisha wapi mkuu?
Mkuu uninstall hilo file kisharudia tena pole pole na hakikisha utakapo weka hiyo phoenix os uwe na space ya kutosha. Mfano ukichagua 4G hakikisha hard disk yako unapo weka hilo file hiyo space ipo na ukimaliza restart pc yako, uwe mvumilivu kidogo kama dakika 3 hadi 5.
 
Ahsante kaka, ntaleta mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…