Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 726
- 1,044
Habarini wadau, nizame moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Kumekuwa na Changio la NSSF la kisheria kwa wafanyakazi wa umma na binafsi na baadhi yenu mmekuwa mkisaidia taasisi zenu kukusanya na kudeposit kwenye control number husika.
Cha kushangaza kama inavyosemekana ni kwamba imekuwa ngumu sana fedha kuwarejeshea wahusika pindi wakomapo ajira iwe kwa kigezo cha umri au matakwa ya waajiri.
Najua mchango huu ni kwa nia njema kwamba nje na ajira kuna maisha pia hivyo fedha hizo huwa msaada.
Naomba kujua toka kwa wahusika ama wenye uzoefu na hili je, ni kweli fedha hizi huwa ngumu sana kuwarejea wahusika, na kwa kiwango gani na kwa nini wao wanaficha ukweli na kudai kuwa fedha hizi hurejeshwa kwa asilimia mia, na je hurejeshwa kwa kigezo cha umri au hata ajira ikomapo tu?
Na huchukua muda gani msaada ndugu wana JF.
Kumekuwa na Changio la NSSF la kisheria kwa wafanyakazi wa umma na binafsi na baadhi yenu mmekuwa mkisaidia taasisi zenu kukusanya na kudeposit kwenye control number husika.
Cha kushangaza kama inavyosemekana ni kwamba imekuwa ngumu sana fedha kuwarejeshea wahusika pindi wakomapo ajira iwe kwa kigezo cha umri au matakwa ya waajiri.
Najua mchango huu ni kwa nia njema kwamba nje na ajira kuna maisha pia hivyo fedha hizo huwa msaada.
Naomba kujua toka kwa wahusika ama wenye uzoefu na hili je, ni kweli fedha hizi huwa ngumu sana kuwarejea wahusika, na kwa kiwango gani na kwa nini wao wanaficha ukweli na kudai kuwa fedha hizi hurejeshwa kwa asilimia mia, na je hurejeshwa kwa kigezo cha umri au hata ajira ikomapo tu?
Na huchukua muda gani msaada ndugu wana JF.