Naomba kufahamu bei ya jumla ya rasta

Naomba kufahamu bei ya jumla ya rasta

baby nillaah

Senior Member
Joined
Apr 7, 2017
Posts
110
Reaction score
64
habarini wanajamvi Mimi naomba kuuliza kwa anaejua bei za rasta prima afro aina zote ikiwemo wavings,rasta zenyewe,jamii ya selfie rasta ni bei gani kwa kiwandani naomba kuuliza na je?wanafunga mzingo kuanzia sh ngapi kwa kiwandani moja moja ,.....nataka nifanye hii biashara so nataka kujua kwnza bei yake
 
Back
Top Bottom