Jamani nifahamisheni kuhusu interview ya it technician bot tarehe 24/06/ 2010. Kama wametoa majibu ya ile interview.
Naomba mnisaidie kuja hilo waugwana
Du kitambo sana mbona?kwa kawaida Bot huwa wanaita kazini wiki 1 au 2 mara baada ya interview ya 2.Na pia huwa wanatabia ya kutangaza upya kazi kama hao waliowafanyia usahili hawajafikia vigezo vyao. Kwa maana hii hizo nafasi zitakua zimeshajazwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.