clemence
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 594
- 212
Wana Jamii napata shida kujua kazi za viongozi hawa naomba mnifahamishe kwa kunitofautishia majukumu yao.
1: Mkuu wa mkoa na Meya
2: Muu wa wilaya na Mkurugenzi wa wilaya
3: Afsa mtendaji kata na Diwani
4: Mwenyekiti wa kijiji
Nifahamishwe tafadhali,na pia tujadili kama kuna haja ya baadhi ya nafasi za kisiasa ziendelee kuwepo
1: Mkuu wa mkoa na Meya
2: Muu wa wilaya na Mkurugenzi wa wilaya
3: Afsa mtendaji kata na Diwani
4: Mwenyekiti wa kijiji
Nifahamishwe tafadhali,na pia tujadili kama kuna haja ya baadhi ya nafasi za kisiasa ziendelee kuwepo