Mbona huwa inakuwa announced acha haraka , hzo pesa huwa haztoshi ,ok huwa ni wasita had mbelen huko , angalizo Kama unaenda jeshin acha taarifa zako zote muhimu kwa mtu yoyote wa muhim aliepo nyumban , maranying watu wakimwaga jeshin huwa wanapshana na mchakato na wanabaki home kwa kukosa mkopo, yote Tisa Kama mnajiaeza kiuchumi jisomeshe kwa hela za home