Naomba kufahamishwa kuhusu chuo cha DIT

Naomba kufahamishwa kuhusu chuo cha DIT

smy

Senior Member
Joined
Jul 7, 2017
Posts
163
Reaction score
126
Wanajf
Km kuna yeyote ameshasoma chuo cha DIT kwa diploma au degree, vipi ufundishaji wao ukoje?
Prospectus, lecturers, Naomba maoni yenu wakuu.

iPhone 6s
 
Wanajf
Km kuna yeyote ameshasoma chuo cha DIT kwa diploma au degree, vipi ufundishaji wao ukoje?
Prospectus, lecturers, Naomba maoni yenu wakuu.

iPhone 6s
Aisee tuchekiane mkuu naingia mwaka huu pale

sent by IPhone 6 using jamii forum app
 
  • Thanks
Reactions: smy
Nichek whatsup 0625697394

sent by IPhone 6 using jamii forum app
 
  • Thanks
Reactions: smy
karibu ila jiandae kupungua body weight...ukicheza kidogo una disco then tunakufanyia sherehe ya kukuaga.

Difficult Institute of Tanzania (DIT)
 
Unakuja kupiga kozi gani? Principal now ni. Prof.Ndomba


Ukija ufate yalokuleta DIT ni laini mno ila mitihani ndo kila kitu.....



Utata Test 1, test 2 hadi FE jipange
Poa, Mkuu
Mi na apply electrical engineering

iPhone 6s
 
njoo in box

mi niko pale nicheki inbox
Mkuu inbox za nini funguka hapa hapa, inbox haina umuhimu kwa jambo la uma kama hili, hakuna personal issue hapa.
Ni chuo ambacho watu ambao wameshindikana kwa kuwa na akili nyingi ndio wanaenda kusoma pale
Pale makali yamepungua, ogapa kipindi hiko inaitwa Dar es Salaam Technical College ( Dar Tech.) Award ilikuwa FTC (Full Technician Certificate)
 
Back
Top Bottom