AgentX
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 1,651
- 1,700
Class attendance ticha anaipitia wakati unadai make up ya CA, Hapo ogopa sana... CA haisomi ticha anakuuliza unaitwa nani huku kashika attendance!!.umesahau mkuu na class atedance
Class attendance ticha anaipitia wakati unadai make up ya CA, Hapo ogopa sana... CA haisomi ticha anakuuliza unaitwa nani huku kashika attendance!!.umesahau mkuu na class atedance
Mkuu inbox za nini funguka hapa hapa, inbox haina umuhimu kwa jambo la uma kama hili, hakuna personal issue hapa.
Pale makali yamepungua, ogapa kipindi hiko inaitwa Dar es Salaam Technical College ( Dar Tech.) Award ilikuwa FTC (Full Technician Certificate)
haaaaaaaaaa hiyo sitoisahau nilipokuwa first yearClass attendance ticha anaipitia wakati unadai make up ya CA, Hapo ogopa sana... CA haisomi ticha anakuuliza unaitwa nani huku kashika attendance!!.
Elimu imekuwa rahisi now mazingatio hafifu.Elimu imekuwAje sijui siku hizi,jana tu nilimsikia mtaAlamu anasema wanafunzi waliokuwa wanawapokea 80's na 90's ni tofauti na wa sasa,hawa wa sasa uwezo mdogo sana
Hatari sana weka mbali na GShaaaaaaaaaa hiyo sitoisahau nilipokuwa first year
haaaa com... pale kati usisahauElimu imekuwa rahisi now mazingatio hafifu.
Imagine life before AutoCAD ila now AutoCAD unafanya zaidi ya hayo ukiwa hata kitandani.
Hatari sana weka mbali na GS
mkuu pale ulipiga facult gan,,?Class attendance ticha anaipitia wakati unadai make up ya CA, Hapo ogopa sana... CA haisomi ticha anakuuliza unaitwa nani huku kashika attendance!!.
Difficult I nstitute ofTanzania nimeipenda hii mkuu nami nmepita hapo Chuo kipo vzr cha msingi unatakiwa kua serious maana pale one mistake two goalsUnataka kujua nini kuhusu prospectus?
specify course unayoenda kusoma kwanza...kila course ina sifa zake difficult insitute of Tanzania(dit)
Mkuu matapeli nao huwa hawachezi mbali mi nashangaa inbox aende akafanye nn sasaMkuu inbox za nini funguka hapa hapa, inbox haina umuhimu kwa jambo la uma kama hili, hakuna personal issue hapa.
Pale makali yamepungua, ogapa kipindi hiko inaitwa Dar es Salaam Technical College ( Dar Tech.) Award ilikuwa FTC (Full Technician Certificate)
Nimeckia DIT hamna Make up ya CA usipofika una Redo au ikoje sikuhzi, Attendance muhimu kweli aseeClass attendance ticha anaipitia wakati unadai make up ya CA, Hapo ogopa sana... CA haisomi ticha anakuuliza unaitwa nani huku kashika attendance!!.
Huyu profesa alikua prof wangu mwaka wa pili CoET akifundisha fluid mechanics. Alichokifanya mwaka wetu watu hawawez kusahau...Unakuja kupiga kozi gani? Principal now ni. Prof.Ndomba
Ukija ufate yalokuleta DIT ni laini mno ila mitihani ndo kila kitu.....
Utata Test 1, test 2 hadi FE jipange
Mech . Engmkuu pale ulipiga facult gan,,?
Special testNimeckia DIT hamna Make up ya CA usipofika una Redo au ikoje sikuhzi, Attendance muhimu kweli asee
Una retakeAmnaga kucary pale ila kila laheri
sent from my iPhone 6
Alifanyaje? Ulikuwa unapiga BSC mech eng? Fluid mechanics huku ni watu wa diploma .. Kweli UDSM easy.Huyu profesa alikua prof wangu mwaka wa pili CoET akifundisha fluid mechanics. Alichokifanya mwaka wetu watu hawawez kusahau...
Fluid mechanics hata advance pia inafundishwa kinachotofautiana ni level tu, sasa unaposema rahisi kisa diploma inafundishwa napata mashaka,alafu kinachomata ni content na sio kichwa cha topics.Alifanyaje? Ulikuwa unapiga BSC mech eng? Fluid mechanics huku ni watu wa diploma .. Kweli UDSM easy.