Naomba kufahamishwa faida za AU kwa wakazi wa Afrika.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,927
244,505
Kiukweli mimi binafsi mpaka sasa sizijui wala sizifahamu kabisa faida ambazo sisi waafrika tunazipata kutoka na umoja huu wa nchi za kiafrika.

Kama wanachama wake wanasigina katiba za nchi zao waziwazi mchana kweupe , ushindi wa Maalim seif ; ushindi wa Dr Besigye kunyang'anywa mbele ya macho ya AU , kuuawa maelfu ya raia wa Burundi kutokana na king'ang'anizi Nkurunzinza , ni ushahidi wa ubutu wa AU na kwamba umoja huu hauna msaada wowote kwa waafrika .

Yapo madhira mengi sana yanayoikumba africa huku umoja huu ukitumbua macho .

Napendekeza nchi yangu niliyozaliwa ndani yake inayoitwa Tanzania ijitoe kwenye umoja huu mufilisi usio na maono wala mipango yoyote kwa manufaa ya raia wake na afrika kwa ujumla .
 
Wajumbe wake ndio wasiginaji wakubwa kabisa wa katiba nchini mwao , mnawezaje kuwa na mkusanyiko wa viongozi wa namna hii na mkaishi kwa amani ?
 
Kiukweli mimi binafsi mpaka sasa sizijui wala sizifahamu kabisa faida ambazo sisi waafrika tunazipata kutoka na umoja huu wa nchi za kiafrika.

Kama wanachama wake wanasigina katiba za nchi zao waziwazi mchana kweupe , ushindi wa Maalim seif ; ushindi wa Dr Besigye kunyang'anywa mbele ya macho ya AU , kuuawa maelfu ya raia wa Burundi kutokana na king'ang'anizi Nkurunzinza , ni ushahidi wa ubutu wa AU na kwamba umoja huu hauna msaada wowote kwa waafrika .

Yapo madhira mengi sana yanayoikumba africa huku umoja huu ukitumbua macho .

Napendekeza nchi yangu niliyozaliwa ndani yake inayoitwa Tanzania ijitoe kwenye umoja huu mufilisi usio na maono wala mipango yoyote kwa manufaa ya raia wake na afrika kwa ujumla .
Tafuta kitabu cha "The Africans" by David Lamb ukisome . Amewaelezea vizuri waafrika
 
Kiukweli mimi binafsi mpaka sasa sizijui wala sizifahamu kabisa faida ambazo sisi waafrika tunazipata kutoka na umoja huu wa nchi za kiafrika.

Kama wanachama wake wanasigina katiba za nchi zao waziwazi mchana kweupe , ushindi wa Maalim seif ; ushindi wa Dr Besigye kunyang'anywa mbele ya macho ya AU , kuuawa maelfu ya raia wa Burundi kutokana na king'ang'anizi Nkurunzinza , ni ushahidi wa ubutu wa AU na kwamba umoja huu hauna msaada wowote kwa waafrika .

Yapo madhira mengi sana yanayoikumba africa huku umoja huu ukitumbua macho .

Napendekeza nchi yangu niliyozaliwa ndani yake inayoitwa Tanzania ijitoe kwenye umoja huu mufilisi usio na maono wala mipango yoyote kwa manufaa ya raia wake na afrika kwa ujumla .

Umetaja nchi ambazo zimo kwenye vita baridi na Nato dhidi ya rasilimali zao.ktk hizo ongeza na Kongo.mchezo wote tunaujua hatawaliki mtu hapa.
 
Umetaja nchi ambazo zimo kwenye vita baridi na Nato dhidi ya rasilimali zao.ktk hizo ongeza na Kongo.mchezo wote tunaujua hatawaliki mtu hapa.
Nyinyi bongo madini yote mmemaliza na gesi yote mmebinafsisha , awatake nani ?
 
Back
Top Bottom