Naomba kuelimishwa

Naomba kuelimishwa

NKYALU

Member
Joined
Apr 6, 2011
Posts
18
Reaction score
7
Hivi karibuni kumekuwa na mambo yanayonipa shida kidogo. Utakuta bendi ya muziki inatangaza kuwa itapiga shoo mahali fulani na shoo hiyo itakuwa mpaka majogoo (karibu na asubuhi). Cha kushangaza ni pale wanaposema wakubwa 5,000/= na watoto 1,000/=. Hivi watoto siku hizi wanaruhusiwa shoo za namna hii? Naomba kuelimishwa.
 
maisha mafupi silu hizi chief so sio vibaya nao wakaanza kulambalamba maisha kidogo....lakini ikifika mahali wale wanenguaji kumogoka viuno vya hali ya juu wazazi wawazibe macho tu watoto tu!!
 
Back
Top Bottom