Naomba kuelimishwa kuhusu gari za toyota za 'Hybrid-electric'

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Jul 10, 2011
3,950
5,692
Nimeona kuna baadhi ya magari ya toyota na makampuni mengine yakiwa na mfumo wa engine wa hybrid, naomba kueleweshwa yafuatayo:-

1. Nini maana ya hybrid-electric engine
2.Nini tofauti yake na hizi engine nyingine kama VVT-i, Valve Matic, etc,
3.Je zinafaa kwa mazingira yetu ya Tanzania kwa kuzingatia changamoto za mafuta na ufundi?
4.Je ulaji wake wa mafuta upoje? Unatofauti na hizi nyingine kama nilizotaja hapo juu?

Nikipata majibu nataka ninunue Alphard ila ni ya Hybrid-electric engine.

Thanks.
Toyota Alphard Hybrid 2004
 
Miye navyojuwa haya hybrid kwanza yanatumia batteries na mafuta kwahiyo. Ukiwa unatumia nguvu kidogo unakula battery na ukitaka nguvu sana mwendo ndo mafuta yanatumika. Hizi batteries huwa zina mda wake wakutumika kama 5-10 years then needs to be replaced. Kuzipata bongo ndo tatizo na unaweza ukanunuwa gari nalikawa na defective batteries ikala kwako kuagiza mpya.

Kwenye electric cars hizi nazo zinatumia batteries full time unachaji kama simu. Magari haya kwa kuchaji nyumbani mpaka lijaye mengi yanachukuwa zaidi ya 8hrs na yanakuwa na range ya kuanzia km 200-500 hapo ukilichaji mpaka litakapo isha chaji. Lakini pia mwendo wako na mazingira inategemea yanaweza kumalizia chaji. Kimsingi pia haya yanakuja na batteries tuu kwahiyo batteries zake zikibuma lazima ureplace ndo ifanye tena kazi. Kwahapa bongo magari haya nichangamoto sana inabidi umpige shule fundi wako na YouTube kila wakati ukiwa na tatizo na parts lazima uagize toka huko kwawenzetu.
 
Miye navyojuwa haya hybrid kwanza yanatumia batteries na mafuta kwahiyo. Ukiwa unatumia nguvu kidogo unakula battery na ukitaka nguvu sana mwendo ndo mafuta yanatumika. Hizi batteries huwa zina mda wake wakutumika kama 5-10 years then needs to be replaced. Kuzipata bongo ndo tatizo na unaweza ukanunuwa gari nalikawa na defective batteries ikala kwako kuagiza mpya.

Kwenye electric cars hizi nazo zinatumia batteries full time unachaji kama simu. Magari haya kwa kuchaji nyumbani mpaka lijaye mengi yanachukuwa zaidi ya 8hrs na yanakuwa na range ya kuanzia km 200-500 hapo ukilichaji mpaka litakapo isha chaji. Lakini pia mwendo wako na mazingira inategemea yanaweza kumalizia chaji. Kimsingi pia haya yanakuja na batteries tuu kwahiyo batteries zake zikibuma lazima ureplace ndo ifanye tena kazi. Kwahapa bongo magari haya nichangamoto sana inabidi umpige shule fundi wako na YouTube kila wakati ukiwa na tatizo na parts lazima uagize toka huko kwawenzetu.

Ohh shukran, kwa maana unaweza jua garama za hizo battery za hybrid cars? na ukinunua used si inabidi ubadili betri ndio uendeshe au inakuaje??
 
Ohh shukran, kwa maana unaweza jua garama za hizo battery za hybrid cars? na ukinunua used si inabidi ubadili betri ndio uendeshe au inakuaje??

Inategemea gari gani unayo lakini najuwa haziwagi cheap na kuna tax atlist kwa wenzetu government wanawapaga rebates kwenye hizi green technologies kama ikiwa ni $5000 wanarudishiwa $850 back lakini bongo najuwa ukileta mpya ikicost that much kutakuwa na VAT lazima wakutandike nayo. Ukinipa jina tunaweza google naukajuwa.
 
Ohh shukran, kwa maana unaweza jua garama za hizo battery za hybrid cars? na ukinunua used si inabidi ubadili betri ndio uendeshe au inakuaje??
..ukinunua cm used huwa unabadili battery!? kama iko na condition nzuri no problem
 
Back
Top Bottom