Naomba kuelimishwa kuhusu "BRUTE FORCE"

Ninaface matatizo mawili..la kwanza ni jinsi ya kupata hizo data..na kama nikishindwa tatizo linalokuja ni jinsi ya kuitoa hii software na kuirudisha..kabla hujaiunstall inauliza password pia..hapo ndo kimbembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…