mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Kuna mwana nilimwambia khs suala la yeye kutumia SAE 40 badala ya 5w-30 akajifanya mjuaji sa hivi engine yake inalia kama vile vigari/vibajaji vya Mo Entreprises hahah.
Dah hapa nimegundua kuna changamoto kubwa sana kwenye uelewa wa oil... Wapendwa watu wajitahid sana kutafuta knowledge ya haya mambo lasivo mafund wataharibu sana magari.. Unakuta mtu ananunua oil kwa jina la kampuni badala ya standard recommended na manufacturer.. Mfano utakuta gari inataka utumie oil ya 5w-30, 5w-40, ambazo ni synthetic oil, mtu anakwenda nunua oil imeandikwa SAE 40, hvi jaman unadhan hyo engne ita dumu... ? Elimu ya oil ingia google utapa, na hata ukitaka kufahamu recommended oil kwa gari yako utapata majibu.. We type aina ya gari na model ya engine utapa details zote za oil inayotakiwa.