Naomba kuelekezwa kwa mtaalamu

Afande Nyati

JF-Expert Member
Nov 10, 2012
2,385
1,414
Ndugu wana JF Doctors, nahitaji kuonana na daktari anayehusika na masuala ya uzazi hasa kwa wanaume. Naomba kujua endapo nitaenda hospital kama Muhimbili, niulize doctor wa nini (kitaalamu) ili iwe rahisi kumfikia maana ni hospital kubwa sana ile.
 
Mleta mada funguka,hakuna anayekujuaa,unaweza kuwa na tatizo ambalo wengine yamewahi kuwakuta,wakakupa ushirikiano mzuri kutokana na uzoefu wa tatizo husika
 
Mleta mada funguka,hakuna anayekujuaa,unaweza kuwa na tatizo ambalo wengine yamewahi kuwakuta,wakakupa ushirikiano mzuri kutokana na uzoefu wa tatizo husika
Ha ha ha ha a a a a a a! kazi kwelikweli. Ni kweli mleta uzi hatumfahamu,lakini anaona aibu!
 
Back
Top Bottom