Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Badala ya kutoa taarifa, sasa Jeshi la Polisi mmejipa mamlaka ya kuombwa ruhusa ya kuandamana.
Haya, mimi Sifi Leo sifurahishwi na raha na furaha wanayokuwa nayo vijana wa Kitanzania pale anapokufa kiongozi yeyote kutoka Chama Cha Mapinduzi. Hili ni doa kubwa mno katika taifa.
Maandamano napanga kuanzia nyumbani kwangu Kisana mpaka Rumumba jijini Dar es Salaam.
Haya, mimi Sifi Leo sifurahishwi na raha na furaha wanayokuwa nayo vijana wa Kitanzania pale anapokufa kiongozi yeyote kutoka Chama Cha Mapinduzi. Hili ni doa kubwa mno katika taifa.
Maandamano napanga kuanzia nyumbani kwangu Kisana mpaka Rumumba jijini Dar es Salaam.