Naomba kazi yoyote ile

Naomba kazi yoyote ile

Kaluluma

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
474
Reaction score
622
Habari wakuu,naomba kazi yoyote ile,
Kwa sasa nipo Dodoma ila naweza kuifuata popote pale ilipo ndani ya Tanzania
Jinsia ni Me
Iwe kusaidia kuhudumia mgahawani
Kukaanga chipsi
Kuchoma chapati
Kufanya usafi gesti au lodge
Kuwa houseboy
Natanguliza shukrani..
 
Kuna namba nitakutumia mkuu, huyo mtu ana kazi mbali mbali!

Utampigia simu, ila atakuajiri kutokana na kazi unayoweza!

GOODLUCK!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom