Naomba kazi ya kufanya

Naomba kazi ya kufanya

sekion27

Member
Joined
Jul 25, 2021
Posts
56
Reaction score
37
Naomba kazi ya kufanya yoyote ile nipo Arusha mwanzo nilikuwa nauza nguo za kike ila nimeanguka kimtaji japo nina bachelor ya accounting na finance na nina uzoefu wa kutumia computers vizuri nikibobea kwenye tally na cash statement,

Ninachoomba ni kupatiwa kazi ya kunihifadhi hapa mjini kwani sio mzaliwa wa Arusha na pango la mwenye nyumba linanihusu kwa yeyote aliyetayali kunipa kazi ya kufanya nitafanya bila kujali kipato,

Kwani nimezunguka sana kutafuta kazi ya fani yangu, lakini nimeona mda unaenda na mambo muhimu kama malazi, mavazi na chakula bado vinanisubiri na kazi bado sijapata.
Co nipo hapa kuomba kupatiwa kazi ya kufanya hata kama ina kipato kidogo nitaifanya kuliko nikaishi bila kazi.

Asanteni kwa usikivu naamini nimeeleweka.
 
Naomba kazi ya kufanya yoyote ile nipo Arusha mwanzo nilikuwa nauza nguo za kike ila nimeanguka kimtaji japo nina bachelor ya accounting na finance na nina uzoefu wa kutumia computers vizuri nikibobea kwenye tally na cash statement,
Ninachoomba ni kupatiwa kazi ya kunihifadhi hapa mjini kwani sio mzaliwa wa Arusha na pango la mwenye nyumba linanihusu kwa yeyote aliyetayali kunipa kazi ya kufanya nitafanya bila kujali kipato,
Kwani nimezunguka sana kutafuta kazi ya fani yangu, lakini nimeona mda unaenda na mambo muhimu kama malazi, mavazi na chakula bado vinanisubiri na kazi bado sijapata.
Co nipo hapa kuomba kupatiwa kazi ya kufanya hata kama ina kipato kidogo nitaifanya kuliko nikaishi bila kazi.
Asanteni kwa usikivu naamini nimeeleweka.
pole. kuokota chupa kutakusaidia ndugu. ifanye kisomi, siyo kuwa kama wale waonekana kuvurugwa akili.
 
don't give up tafuta mafundi ujenzi komaa nao nazani per day wanatoa 7000-10000 kwa ARUSHA
 
Naomba kazi ya kufanya yoyote ile nipo Arusha mwanzo nilikuwa nauza nguo za kike ila nimeanguka kimtaji japo nina bachelor ya accounting na finance na nina uzoefu wa kutumia computers vizuri nikibobea kwenye tally na cash statement,
Ninachoomba ni kupatiwa kazi ya kunihifadhi hapa mjini kwani sio mzaliwa wa Arusha na pango la mwenye nyumba linanihusu kwa yeyote aliyetayali kunipa kazi ya kufanya nitafanya bila kujali kipato,
Kwani nimezunguka sana kutafuta kazi ya fani yangu, lakini nimeona mda unaenda na mambo muhimu kama malazi, mavazi na chakula bado vinanisubiri na kazi bado sijapata.
Co nipo hapa kuomba kupatiwa kazi ya kufanya hata kama ina kipato kidogo nitaifanya kuliko nikaishi bila kazi.
Asanteni kwa usikivu naamini nimeeleweka.
Pole mkuu, umejaribu pale A2Z kiwandani kisongo, huaga wanakaz nyng sn, nenda ijumaa.
 
Hamia dar utafute ramani, huko pagumu Sana Kama huna Raman.
Tatizo dar unakaa kwa nani ndugu....na mtaji na hela ya kulipa kodi sna huwa nataman kuuza hta hii smu ila tatzo kazi nilizoomba watanipataje
 
Asante nashukuru sana ndugu yangu na mungu akusaidie njia zote upitazo akuzidishie zaidi na kukupa maisha marefu asante sana kaka sna cha kukulipa ni mungu wangu tu atakulipa Asante sana

Asante Barikiwa
 
Naomba kazi ya kufanya yoyote ile nipo Arusha mwanzo nilikuwa nauza nguo za kike ila nimeanguka kimtaji japo nina bachelor ya accounting na finance na nina uzoefu wa kutumia computers vizuri nikibobea kwenye tally na cash statement,

Ninachoomba ni kupatiwa kazi ya kunihifadhi hapa mjini kwani sio mzaliwa wa Arusha na pango la mwenye nyumba linanihusu kwa yeyote aliyetayali kunipa kazi ya kufanya nitafanya bila kujali kipato,

Kwani nimezunguka sana kutafuta kazi ya fani yangu, lakini nimeona mda unaenda na mambo muhimu kama malazi, mavazi na chakula bado vinanisubiri na kazi bado sijapata.
Co nipo hapa kuomba kupatiwa kazi ya kufanya hata kama ina kipato kidogo nitaifanya kuliko nikaishi bila kazi.

Asanteni kwa usikivu naamini nimeeleweka.
Nicheki nakupa kazi kidogo na rahisi ukiimudu unaweza kufanya nyingine kwa miezi 2-4
 
Back
Top Bottom