We kwel kichwa maji yani lodge unataka kuwa nawatejaa wakudumu???huon hao ni wateja wa shot time au,,,any way na lodge yang njoo ufueee shahawaa xa binadam wwnzakoHabari ya leo wakuu?
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, naishi mkoa wa Mbeya,elimu yangu ni kidato cha nne, naomba mwenye kazi yoyote kama kichwa cha habari nilivyo andika anisaidie, nna uzoefu mzuri katika kazi za jikoni kwa upishi wa vyakula mbalimbali ikiwa ni pamoja na chips, nyama choma na mengineyo, hapo na usafi wa jikoni unahusika pamoja na vyombo, pia nna uwezo wa kufanya kazi za Lodge katika usafi wa kila aina
Mapokezi na pia hata usimamizi mzuri wa Lodge yako uwezo nnao maana najua good custotomer care/business language inahusika sana,special promotion kwa wateja wetu,kuwafanyia wateja wetu wanacho taka ili tuweze kuwa na wateja wakudumu na kuwapata wapya watakao vutiwa na huduma zetu nakuwafanya waendelee kuwa wetu,pia nna uzoefu katika kazi za mauzo nikiwa kama normal distributor ama Team Leader/sales supervisor, nna kanuni hatua mbalimbali za mauzo zitakazo niwezesha kuwa na Marketing Chanel/sales team kubwa na imara na inayo fanya mauzo mengi kwa mwezi nikiwa kama
Team Leader/sales supervisor au kupata wateja wengi kupitia kanuni na zile hatua za mauzo ambapo ntaweza kuwa na utangulizi mzuri utakao muwezesha mteja kuendelea kunisikiliza mpaka ununuzi wa bidhaa yangu,pia nna uzoefu katika kazi inayo husika na Real Estate ambapo hapa nilihusika sana kama project manager kwa kampuni ambayo ilikuwa changa,tuliweza kuwekeza kwa vitu ambavyo viliisaidia kampuni yetu kukua na kufika mbali ila kwa bahati mbaya ilifungiwa kwa vigezo vya kusema hatikuwa na kibari cha mradi,pia nna uzoefu katika kazi ya kufanya mahesabu na kuhakiki mauzo au biashara yoyote ile.
Nashukuru kwa wewe uliye soma thread yangu ubarikiwe.
Mawasiliano yangu ni 0758741531 au WhatsApp 0625711709
Nashukuru mkuu,ila matusi si mazuriWe kwel kichwa maji yani lodge unataka kuwa nawatejaa wakudumu???huon hao ni wateja wa shot time au,,,any way na lodge yang njoo ufueee shahawaa xa binadam wwnzako
Aisee!Mbona umemkosea heshima huyo mkuu aliyeanzisha uzi?We kwel kichwa maji yani lodge unataka kuwa nawatejaa wakudumu???huon hao ni wateja wa shot time au,,,any way na lodge yang njoo ufueee shahawaa xa binadam wwnzako
Tuwe na busara ndugu, sio busara ulivyomjibu binadamu mwenzio, tena ambae anajitahidi kutafuta riziki yake kihalali. Tuwe na hekima, sote ni wa mungu.We kwel kichwa maji yani lodge unataka kuwa nawatejaa wakudumu???huon hao ni wateja wa shot time au,,,any way na lodge yang njoo ufueee shahawaa xa binadam wwnzako
Sio vizuri mkuu kwa ulichokiandika hapa kwenye hadhira,najua binadamu hatujakamilika ila itapendeza ufute ulichokiandika na kuomba radhi.UNAE MDHARAU LEO NDO KESHO YAKO ATAKUSAIDIA.Acha dharau na kejeli chafuWe kwel kichwa maji yani lodge unataka kuwa nawatejaa wakudumu???huon hao ni wateja wa shot time au,,,any way na lodge yang njoo ufueee shahawaa xa binadam wwnzako
Usiwaze mkuu,wanakuja...your very brightHabari ya leo wakuu?
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, naishi mkoa wa Mbeya,elimu yangu ni kidato cha nne, naomba mwenye kazi yoyote kama kichwa cha habari nilivyo andika anisaidie, nna uzoefu mzuri katika kazi za jikoni kwa upishi wa vyakula mbalimbali ikiwa ni pamoja na chips, nyama choma na mengineyo, hapo na usafi wa jikoni unahusika pamoja na vyombo, pia nna uwezo wa kufanya kazi za Lodge katika usafi wa kila aina
Mapokezi na pia hata usimamizi mzuri wa Lodge yako uwezo nnao maana najua good custotomer care/business language inahusika sana,special promotion kwa wateja wetu,kuwafanyia wateja wetu wanacho taka ili tuweze kuwa na wateja wakudumu na kuwapata wapya watakao vutiwa na huduma zetu nakuwafanya waendelee kuwa wetu,pia nna uzoefu katika kazi za mauzo nikiwa kama normal distributor ama Team Leader/sales supervisor, nna kanuni hatua mbalimbali za mauzo zitakazo niwezesha kuwa na Marketing Chanel/sales team kubwa na imara na inayo fanya mauzo mengi kwa mwezi nikiwa kama
Team Leader/sales supervisor au kupata wateja wengi kupitia kanuni na zile hatua za mauzo ambapo ntaweza kuwa na utangulizi mzuri utakao muwezesha mteja kuendelea kunisikiliza mpaka ununuzi wa bidhaa yangu,pia nna uzoefu katika kazi inayo husika na Real Estate ambapo hapa nilihusika sana kama project manager kwa kampuni ambayo ilikuwa changa,tuliweza kuwekeza kwa vitu ambavyo viliisaidia kampuni yetu kukua na kufika mbali ila kwa bahati mbaya ilifungiwa kwa vigezo vya kusema hatikuwa na kibari cha mradi,pia nna uzoefu katika kazi ya kufanya mahesabu na kuhakiki mauzo au biashara yoyote ile.
Nashukuru kwa wewe uliye soma thread yangu ubarikiwe.
Mawasiliano yangu ni 0758741531 au WhatsApp 0625711709
chukulia poa,N
Nashukuru mkuu,ila matusi si mazuri
Nashukuru kwa kauli yako.
Kama kuna sehemu umeona inabidi airekebishe si umwambie tu vzr lkn siyo matusi na kejeli aisee na siyo vzr kama huna jinsi ya kumsaidia pita kimya siyo lazima kucomment, walioelewa maelezo yake watamtafutaWe kwel kichwa maji yani lodge unataka kuwa nawatejaa wakudumu???huon hao ni wateja wa shot time au,,,any way na lodge yang njoo ufueee shahawaa xa binadam wwnzako
There you go,[HASHTAG]#PRINCEBOY[/HASHTAG]Wasiliana na mimi kesho kwa namba ifuatayo: 0754280649. Uaminifu ni sifa namba 1 kwangu. Kama una hiyo sifa pamoja na hizo za kusomea ulizotaja, tafadhali nipigie kesho.