The Night Walker19
Member
- Aug 19, 2020
- 66
- 55
Habari wana Jamii Forums,
Naomba kwa yeyote anayeweza anisaidie kazi/kibarua au hata mtaji kama itawezekana kwa mkopo baada ya makubaliano.
Jinsia: Me.
Elimu: Kidato cha sita.
Makazi: Dar es salaam.
NB: Niko tayari hata ikipatikana mkoani(nje ya dar).
Nawasilisha.