Naomba kadi ya ccm wadau

Naomba kadi ya ccm wadau

Acha dharau wewe mkaka
Hivi umeona viatu vya huyo anayejiita eti alikuwa mwanaCHADEMA?
Hilo ni ligamba tunalijua halafu linaleta stori za kutafuta kadi ya CCM JF, huo sio ujuha kweli?
 
Nimekuwa msabiki wa chadema na ccm kwa muda bila kuwa na msimamo ila kwasasa naomba kuhamia ccm kama mwanachama mtihifu

Karibu sana Amina, bora umegundua CCM ndio TUMAINI PEKEE kwa Watanzania nyakati hizi!
 
Nawapata wapi jamanii nimewapenda ????
 
we div 5 mulugo type mfuate zk anakadi za namba rahisi kwa hali hii wakina zombi watachorwa wengi
 
Wewe aminangalo, unatufanya sisi wajinga, hujui kwamba hapa JF ni kwa ma-GT? Unajifanya eti ulikuwa shabiki wa Chadema!!!?? Tangu lini? Inaelekea hujui kwamba kila unachoandika hapa JF kinarekodiwa! Hebu ngoja nikukumbushe baadhi ya post zako ulizoandika hapa JF siku za karibuni: Tarehe 1.10.2013, 19:56, uliandika,"Tunataka tukamzike mwana CCM mwenzetu ni wapi na lini??" Tarehe 25.10.2013, 19:08, uliandika,"CCM ni chama dume la mbegu bisha uone." Vilevile tarehe 4.11.2013, 14:30, uliandika,"Pumba tupu raisi lazima atoke CCM tuu." Pia tarehe 6.12.2013, 21:07, uliandika,"Hata mimi naunga mkono Chadema kufutwa." Na tarehe 12.12.2013, 18:32, uliandika,"CCM tuu ndiyo mambo yote hapa chugga." Halafu leo unaleta za buku 7 !!!
 
------- ww wa ccm kwahyo umeskia hapa kadi zinatolewa.. Kama nakuona. Basi hapa nishakutukana vya kutosha

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wewe aminangalo, unatufanya sisi wajinga, hujui kwamba hapa JF ni kwa ma-GT? Unajifanya eti ulikuwa shabiki wa Chadema!!!?? Tangu lini? Inaelekea hujui kwamba kila unachoandika hapa JF kinarekodiwa! Hebu ngoja nikukumbushe baadhi ya post zako ulizoandika hapa JF siku za karibuni: Tarehe 1.10.2013, 19:56, uliandika,"Tunataka tukamzike mwana CCM mwenzetu ni wapi na lini??" Tarehe 25.10.2013, 19:08, uliandika,"CCM ni chama dume la mbegu bisha uone." Vilevile tarehe 4.11.2013, 14:30, uliandika,"Pumba tupu raisi lazima atoke CCM tuu." Pia tarehe 6.12.2013, 21:07, uliandika,"Hata mimi naunga mkono Chadema kufutwa." Na tarehe 12.12.2013, 18:32, uliandika,"CCM tuu ndiyo mambo yote hapa chugga." Halafu leo unaleta za buku 7 !!!

mkuu chukua saluti zangu, mi mwenyewe nimemdadavua, kumbe ni kirusi, hii ni forum ya ma great thinkers.
 
no ngoja kwanza mkuu tuone kamanda wetu ZITTO ataenda chama gani tumfate acha papara
 
Ha! Ha! ha! Sijakuelewa vizuri. Hivi unamaanisha unataka kupelekwa SUNA!!! subiri mkifunga shule tutakupeleka!!!
 
Nimekuwa msabiki wa chadema na ccm kwa muda bila kuwa na msimamo ila kwasasa naomba kuhamia ccm kama mwanachama mtihifu

very simple, kamuone katibu wa tawi lililopo jirani na unapoishi, utajadiliwa na kamati ya siasa ya tawi wakiridhika utasajiliwa katika tawi na kua mwana CCM, karibu tusaidiane kutekeleza ilani ya chama kwa muda uliobakia, kidumu chama chs mapinduzi
 
hata dr slaa anayo m pm akupatie..!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom