Naomba Design nzuri ya kisasa au hata mgongo wa tembo kuezeka nyumba ya Floor Plan hii

Naomba kuwakumbusha wale mnaoanza au mnaotaka kujenga.

Mtambue ya kuwa katika ujenzi 60%-70% ya gharama utakayotumia kwenye ujenzi,Mara nyingi huwa ni gharama ya material. Kwa hiyo usijisumbue kutumia 'mafundi maiko' wahuni ,wakujengee kwa kisingizio cha kusave gharama za wataalamu,Hiyo 30%-40% unayoipigania inaweza kuigharimu 60%-70%.

Ukweli mchungu ni kwamba,nyumba nyingi za makazi zina changamoto ya 'ubora'.Unakuta mtu alikwepa kutumia wataalamu kukwepa 1M.Baadae 'as a consequences' kila mwaka anafanya marekebisho yenye gharama kubwa.
Kitaalamu 'life span' ya majengo tunaexpect iwe 50years or more with slightly maintenance.Lakini hizi za kwetu 10yrs nyumba unakuta imechoka tayari.Au unakuta gharama za marekebisho alizotumia mtu,angeweza kujenga hata nyumba nyingine.


NI MUHIMU KUZINGATIA ubora na ushauri wa wataalamu unapoanza ujenzi.Suala la gharama sio la kuhofia kwa sababu bado Tanzania tunao wataalamu wengi wanaoweza kukushauri namna bora ya ujenzi kulingana na kiasi Ulichonacho( Mfano kuna watu wanaitwa Quantity surveyors ,kazi yao ni kufanya ukadiriaji wa gharama za ujenzi,Wahandisi ujenzi nao wapo,ambao miongoni mwa kazi zao kubwa ni kusimamia ubora wa materials na namna ya ujenzi,Pia hufanya design.Wapo Ma -Architects kazi yao ni kufanya usanifu wa majengo.

SIJAJUA WABONGO TUNAKWAMA WAPI? Ila taratibu tutazoea.
 
Hii plan ina changamoto ndogo ndogo boss. Hizo bedrooms hazina pa kuogea. Kitchen na dining zinaonekana kukosa nafasi ya kutosha na bedrooms zimejibana sana bila kuwa na makabati. Plot ya 20x24 siyo ndogo kwa 3-bedroom, jaribu kuongeza ukubwa wa nyumba japo kidogo ili ijitosheleze. Binafsi napenda landscaping. Naona parking ya magari mawili tu imesababisha karibu eneo lote hapo mbele liwe paved.

Mkuu, sijakuelewa unaposema vyumba havina sehemu ya kuogea, huoni public toilet hapo , kuhusu kuongeza ukubwa ni ngumu , mteja wa hii nyumba alitaka simply nyumba ndogo ya vyumba viwili tu, ila nikamshauri nimtengenezee simple ya vyumba vitatu, smtms design inaendana na matakwa ya mteja kwanza then mambo mengine yanafuata, ukitaka kubwa zenye korido nyingi na safety ya kutosha tunakuchorea pia

nile -1.PNG


nile -2-3.PNG


nile --3.PNG


nile -15.PNG


nilehouse designs 3--5.PNG


nilehouse designs 3--3.PNG


nilehouse designs 3-.PNG
 
Tafuta wataalamu wakurekebishie hiyo ramani,unaweza usiongeze au kupunguza kitu lkn iwekwe kwenye mpangilio na vipimo vya kueleweka ili hata ikija kupauliwa Iwe na muonekano wa kupendeza,ukiendekeza ubahili utagharamika zaidi baadae...
 
Mkuu, sijakuelewa unaposema vyumba havina sehemu ya kuogea, huoni public toilet hapo , kuhusu kuongeza ukubwa ni ngumu , mteja wa hii nyumba alitaka simply nyumba ndogo ya vyumba viwili tu, ila nikamshauri nimtengenezee simple ya vyumba vitatu, smtms design inaendana na matakwa ya mteja kwanza then mambo mengine yanafuata, ukitaka kubwa zenye korido nyingi na safety ya kutosha tunakuchorea pia

View attachment 1883542

View attachment 1883543

View attachment 1883545

View attachment 1883546

View attachment 1883548

View attachment 1883549

View attachment 1883550
Nimeona public toilet. Kwa ilivyochorwa na proportions zake, nafasi iliyopo ni ya choo (wc) tu. Hata washbasin kwa kuoshea uso ni changamoto. Au utaweka choo cha kuchuchumaa na bomba la maji kwa pembeni kiswazi swazi zaidi? Shower head kwa pembeni kidogo na mtu akishaoga aanze kudeki bathroom nzima. Au mtu akitaka kujisaidia anavuka maji kwenda kwenye choo?

Ndio maana nikasema changamoto ndogo ndogo. Vitu kama hibi ni vyema vikakaa sawa hata kama nyumba ni ndogo. Napenda renders zako ila mimi napenda kuangalia uzuri wa design kwa spatial organization, yaani Plan na Section. Wabongo wengi tunapotezwa na renders mwisho wa siku watu wanajenga nyumba za hovyo. Ndo maana nimekosoa kwenye plan pale nilipoona kuna vitu vya kurekebisha.
 
Nimeona public toilet. Kwa ilivyochorwa na proportions zake, nafasi iliyopo ni ya choo (wc) tu. Hata washbasin kwa kuoshea uso ni changamoto. Au utaweka choo cha kuchuchumaa na bomba la maji kwa pembeni kiswazi swazi zaidi? Shower head kwa pembeni kidogo na mtu akishaoga aanze kudeki bathroom nzima. Au mtu akitaka kujisaidia anavuka maji kwenda kwenye choo?

Ndio maana nikasema changamoto ndogo ndogo. Vitu kama hibi ni vyema vikakaa sawa hata kama nyumba ni ndogo. Napenda renders zako ila mimi napenda kuangalia uzuri wa design kwa spatial organization, yaani Plan na Section. Wabongo wengi tunapotezwa na renders mwisho wa siku watu wanajenga nyumba za hovyo. Ndo maana nimekosoa kwenye plan pale nilipoona kuna vitu vya kurekebisha.
Baada ya kukosoa kosoa nimekuja na DESIGN hii sijui mnaionaje, kama iko poa nipe Yes niendelee na ujenzi na kama haiko sawa nipe NO, na plz uState nibadilishe wapi!!
Nawasilisha!
JPEG_20210807_214842_676226439454529445.jpg
JPEG_20210807_215018_4416246429891232079.jpg
 
Kuna site kiwanja chenye ukubwa wa 23 × 16... natamani kujenga nyumba yenye vyumba 3, jiko,dining, store... yenye vyumba vikubwa na madirisha makubwa yenye hewa, ila isiwe kubwa ni simple ndogo ila ya kijanja.. maana pesa sina mimi.. Wanajamvi mnisaidie house plan na raman nzuri ya hiyo plan yangu mnisaidie kama zipo
 
Naomba kuwakumbusha wale mnaoanza au mnaotaka kujenga.

Mtambue ya kuwa katika ujenzi 60%-70% ya gharama utakayotumia kwenye ujenzi,Mara nyingi huwa ni gharama ya material. Kwa hiyo usijisumbue kutumia 'mafundi maiko' wahuni ,wakujengee kwa kisingizio cha kusave gharama za wataalamu,Hiyo 30%-40% unayoipigania inaweza kuigharimu 60%-70%.

Ukweli mchungu ni kwamba,nyumba nyingi za makazi zina changamoto ya 'ubora'.Unakuta mtu alikwepa kutumia wataalamu kukwepa 1M.Baadae 'as a consequences' kila mwaka anafanya marekebisho yenye gharama kubwa.
Kitaalamu 'life span' ya majengo tunaexpect iwe 50years or more with slightly maintenance.Lakini hizi za kwetu 10yrs nyumba unakuta imechoka tayari.Au unakuta gharama za marekebisho alizotumia mtu,angeweza kujenga hata nyumba nyingine.


NI MUHIMU KUZINGATIA ubora na ushauri wa wataalamu unapoanza ujenzi.Suala la gharama sio la kuhofia kwa sababu bado Tanzania tunao wataalamu wengi wanaoweza kukushauri namna bora ya ujenzi kulingana na kiasi Ulichonacho( Mfano kuna watu wanaitwa Quantity surveyors ,kazi yao ni kufanya ukadiriaji wa gharama za ujenzi,Wahandisi ujenzi nao wapo,ambao miongoni mwa kazi zao kubwa ni kusimamia ubora wa materials na namna ya ujenzi,Pia hufanya design.Wapo Ma -Architects kazi yao ni kufanya usanifu wa majengo.

SIJAJUA WABONGO TUNAKWAMA WAPI? Ila taratibu tutazoea.
Sio ufundi wa nyumba tu, ufundi wowote Tz ni changamoto hata magari wataliharibu tu. Tatizo kubwa ni mafundi kukosa uaminufu, kuangalia kupiga $$ tu pasipo kuchukulia kazi kama ya ke binafsi.

Mimi Binafsi ilibidi nijifunze ujenzi ili niweze kusimamia kazi zangu baada ya kuangushwa na watu wengi including engineers wenye vyeti na degrees. Kwa hio sio watu wanataka ku-save hela, mimi mwanzoni nilikuwa namlipa Engineer in USD hela yeyote anataka yeyote, ila majengo alijenga nikaja kuvunja au kurekebisha karibu yote nilivyoelewa ujenzi. Na huyo ni engineer wengine wanamsifia sana na ndio maana nikamtumia.

Kwa hiyo Tatizo linaanzia kwa mafundi wenyewe, hawachukulii kazi kama yake na wanaangalia tu kupiga hela. Na waaminifu wapo lakini kwa asilimia kubwa pia kuna wahuni sana ambao wanawavurugia contractors au engineers walio waaminifu.
 
Baada ya kukosoa kosoa nimekuja na DESIGN hii sijui mnaionaje, kama iko poa nipe Yes niendelee na ujenzi na kama haiko sawa nipe NO, na plz uState nibadilishe wapi!!
Nawasilisha!View attachment 1884615View attachment 1884618
Mwisho wa siku nyumba ni yako ndugu yangu. Makosa utafanya tu, ila hakikisha makosa hayako kwenye uimara wa nyumba. Manake nyumba isimame vizuri na imara kwa vipimo vizuri kuta zikiwa zimenyooka kwa kobiro, materials nzuri na imara nk. Hayo mengine ni secondary. Just follow your heart na usiogope kuwa creative.
 
Sio ufundi wa nyumba tu, ufundi wowote Tz ni changamoto hata magari wataliharibu tu. Tatizo kubwa ni mafundi kukosa uaminufu, kuangalia kupiga $$ tu pasipo kuchukulia kazi kama ya ke binafsi.

Mimi Binafsi ilibidi nijifunze ujenzi ili niweze kusimamia kazi zangu baada ya kuangushwa na watu wengi including engineers wenye vyeti na degrees. Kwa hio sio watu wanataka ku-save hela, mimi mwanzoni nilikuwa namlipa Engineer in USD hela yeyote anataka yeyote, ila majengo alijenga nikaja kuvunja au kurekebisha karibu yote nilivyoelewa ujenzi. Na huyo ni engineer wengine wanamsifia sana na ndio maana nikamtumia.

Kwa hiyo Tatizo linaanzia kwa mafundi wenyewe, hawachukulii kazi kama yake na wanaangalia tu kupiga hela. Na waaminifu wapo lakini kwa asilimia kubwa pia kuna wahuni sana ambao wanawavurugia contractors au engineers walio waaminifu.
"Msafara wa mamba na kenge wamo"

Unalosema sio geni,Makanjanja wapo,ndio wanaoharibu kazi za wengine
 
Back
Top Bottom