Naomba CV za Viongozi hawa

Naomba CV za Viongozi hawa

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
1.Waziri wa Ulinzi na JKT.
2.Waziri wa habari,utamaduni na michezo.
3.Waziri wa Ardhi,Nyumba na makazi.



Kama nitathibitishiwa kwamba kuna aliyefikia kidato cha sita Nazi ya mawaziri hao, leo hii nitajitoa JF moja kwa moja.
 
Nimeshangaa hakuna Jina la Mbowe

Dr. Husen Mwinyi ni Daktari wa Binadamu
 
Mkuu wala usihangaike,mana elimu zao ni za kuungaunga.Kuhusu lile tamko lao hata la uwe umepitia F5&6 wengi hawajapitia huko ila wanachokifanya ni sawa na watu mmeweka ngazi kwa ajili ya kupanda kwenda juu,ila mwingine anamaliza kupanda ngazi bhasi anaiondoa akisema Pandeni si vizuri kutumia hii ngazi.Totally unfair
 
1.Waziri wa Ulinzi na JKT.
2.Waziri wa habari,utamaduni na michezo.
3.Waziri wa Ardhi,Nyumba na makazi.



Kama nitathibitishiwa kwamba kuna aliyefikia kidato cha sita Nazi ya mawaziri hao, leo hii nitajitoa JF moja kwa moja.
Ila wana masters...
 
Hii ndio Africa ili utawale lazima kulifanya kundi kubwa kuwa wajinga na masikini.... Hayo matamko na mengine mengi lengo lake kupoteza mwelekeo wa elimu kwa kundi kubwa watu
 
Hana form 6, hata form four yenyewe credit hakupata.

Kama hana hiyo fomu 6 na fomu four hana credit, Je maisha yamemshinda? Duniani kila mtu anaishi kwa kutegemea karama yake. Elimu ni kichocheo cha karama. Unaweza ukawa na kisomo kizuri na elimu uliyopata ikashindwa kuchochea karama na ukabaki kuwa mtu wa ovyo. Nakushauri |conentate" na mambo ya kuboresha maisha yako zaidi kuliko kuchunguza mambo ya wengine kwa mitazamo hasi.
 
Mwaka huu una maajabu, shule za kata ziko hoi vibaya mitoto haijui chochote mnahangaika. Anzeni na viongonzi wenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom