Naomba contact za John anayenunua Mlonge

Naomba contact za John anayenunua Mlonge

gmabumbe

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
340
Reaction score
39
Habari wana jf!
kuna Mtu anaitwa John yeye ni mjerumani anayenunua mbegu za mlonge,maua na unga unaotokana na majani ya mlonge.
Taarifa za huyu mtu nilizipata ktk kipindi cha redio East Africa siku ya alhamisi. sikuweza kupata contact za huyu mtu c'se nilikuta kipindi kinaisha.Muongozaji wa hayo mahojiano alikuwa Zembwela. ninachohitaji ni namba ya John au Zembwela kwa sababu nina shamba kubwa kisarawe nilipatanda mlonge kama fensi. kwahiyo nina mlonge mwingi sana.kama unayo mawasiliano ya hawa watu nisaidieni.namba yangu ni 0716 844978
 
Wee nenda kwa fb page ya @zembwela wa eatv utaipata kaaweka pale.

John weeeee.
Mlonge weeeee.
 
Habari wana jf!
kuna Mtu anaitwa John yeye ni mjerumani anayenunua mbegu za mlonge,maua na unga unaotokana na majani ya mlonge.
Taarifa za huyu mtu nilizipata ktk kipindi cha redio East Africa siku ya alhamisi. sikuweza kupata contact za huyu mtu c'se nilikuta kipindi kinaisha.Muongozaji wa hayo mahojiano alikuwa Zembwela. ninachohitaji ni namba ya John au Zembwela kwa sababu nina shamba kubwa kisarawe nilipatanda mlonge kama fensi. kwahiyo nina mlonge mwingi sana.kama unayo mawasiliano ya hawa watu nisaidieni.namba yangu ni 0716 844978
.

Tahadhari. Biashara hizi ni ubatili . Huchnganya na ile.... nyingine. Dont be a stastistic
 
.

Tahadhari. Biashara hizi ni ubatili . Huchnganya na ile.... nyingine. Dont be a stastistic

0717640039 ni ya ofisini kwao.maua kilo wananunua 10000/= haya kazi kwako unikumbuke kwenye ufalme wako na jamaa kasema hata kama una tani 50 za maua anakufuata kokote
 
0717640039 ni ya ofisini kwao.maua kilo wananunua 10000/= haya kazi kwako unikumbuke kwenye ufalme wako na jamaa kasema hata kama una tani 50 za maua anakufuata kokote

habari mkuu...hawa watu wanaonunua maua ya mlonge bado wanapatikana??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom