Naomba anayezifahamu simu aina ya sony

koban

JF-Expert Member
Oct 29, 2015
249
98
Naomben Masaada kwa anayejua simu Sony expiria z5 ubora wake
 
Sony ni simu nzuri na imara sana. Zina camera nzuri pia. Kama unampango wa kununua usilete
 
ogopa simu zenye battery non-removable..nazichukia sijui kwa nini yani
 
Simu nzuri ila suala la betri lilinitesa sana...wataki wakuibandua niwekewe nyingine fundi hakuwa makini akaweka thinner sjui kitu gani ili gundi iliyoshika betri itoke mwisho wa siku kioo kikapata ukungu nikaingia hasara ya kununua betri then kioo,betri lenyewe bei juu toka hapo sitaki kuzisikia simu za kampuni hyo japo ni nzuri...ila usitishike jifunze kitu hapo
 
zaidi ya 50% ya sony zilizopo bongo ni za kichina kuwa tu makini, hakikisha unaiangalia kwanza
 
Back
Top Bottom