Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Kuna wahutu na watutsi huko wanachinjana kama kuku nyumba kwa nyumba...kuna uzi humu ya mfanyakazi wa ubalozi wa Tanzania Rwanda
Hongera sana, Shetani akutie nguvu Sana na akufanikishe.Mkuu, napenda sana chini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona wamekonda sanaLakini pia nakuibia tu usimwambie mtu. Kuna vimwana hatari vya Kitutsi kama hivi hapa. Ukihitaji mmoja wapo awe mwenyeji wako nijulishe haraka.View attachment 1397313
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment hii imekupa ukweli kwa kiasi kikubwa sana kwa nchi ya Rwanda. Namiaka kama mitano sijaenda ila huu ndio uhalisia wenyewe.Wana ardhi ndogo kwa hio chakula sehemu kubwa kinatoka Tz especially mchele,so wabongo wanapeleka sana mchele na vyakula vingine huko.
Kutokana na mgogoro wa Rwanda na Uganda kwa sasa 90% ya bidhaa zinazoingia Rwd zinapitia bandari ya dar,so unaweza kuangalia namna ya kufaidika na hali hio.
Biashara yoyote ile inafanyika cha msingi uwe na vibali tu na wako very serious na suala la kukusanya kodi.
Rushwa hakuna,usije ukajichanganya kutoa rushwa kwa askari au kwny mamlaka za serikali watakupa tabu sana.
Story za kuulizana makabila hawana(ni kitu sensitive kwao).
Khs usalama,ni 1 kati ya nchi salama zaidi Africa,patrol ya kijeshi/police ni 24/7 na hawana habari za kukamata raia,ukilewa zako usiku na ukaona huwezi kufika kwako we ukimuona mjeda/police yuko patrol we mwambie nimelewa na siwezi kufika home utalala hapo pembeni yake mpk asubuhi utakapoamka cha msingi usifanye vurugu ukiamka ondoka zako hakuna kitu atakufanya wala kukuomba hela,huyo anayesema wanachinjana nadhani ni wale wazee wa elimu za hapa na pale.View attachment 1395541
Ukifika huko story za kumtaja taja Kagame kwny vijiwe vya story achana nazo,ukianza hizo story utaona tu wananchi wananyanyuka wanasepa.Inshort pale ni mkono wa chuma uko kazini,we kachape kazi iliyokupeleka siasa achana nazo.
Kigali ni mji expensive kiasi kuishi,so itategemea unataka kuishi eneo huko Rwanda.
Ukitoa Tsh 243,000 unapewa hela ya rwanda Rwf 100,000 na vitu vya kununua ni expensive kidogo pia maana vitu vingi wana export.
Wadau wengine wataendelea.
Jitayarishe na K zenye misimi kama mgongo wa kinyonga usisahau kilago cha kumpa aweke chini mnapolala la sivyo utalala chini wanalowesha sana magodoro kwa maji. Maisha yapo juu sana. Ukikwama kuna sehemu wanapaki magari ya Tanzania karibu na hotel ya Okapi. Uchafu wako ukauache kahama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kweli we mndegereko.Wazuri sana halafu ulinzi ni uhakika ukimchukua anaacha kitambulisho mapokezi na asubuhi unamkabidhi chake unampeleka mapokezi. Sio Buguruni hofu tu. Mkuu maji ni uhai wanatoa sana maji halafu wanamisimi imejaa utadhani kaweka kipande cha sabuni mbunju. Mazuri kweli. Huku akina havinitishi hawana maji mishauo kibao fyuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Aende ugandaNi kugumu hasa kama unatoka tanzania kwa kuwa fedha yao ni kubwa ukilinganisha na fedha ya Tanzania faranga kuwa tshs utachukia nenda Uganda au zambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia napapenda sana Rw nataman niishi nchi hii now namalzia mingo zangu mwishon mwa mwaka huu naplan za kwend kuresearch Kigal for even only 3weeks or + kikibw nitaangalia market 4 businessHabari zenu
Sina mengi zaidi Naomba anae faham maisha ya rwanda anipe mwongozo
(1) Kibiashara
(2)Kilimo No
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki vipi mkuu10000 yabongo ni 5000 kwa yakinyarwanda ,jitahidi hatakidogo kutoonyesha uwongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwahyo unamanisha Zambia hapafai?Labda Aende ugandaila Zambia, Maisha yapo juu Balaa pesa yao KWACHA imekuwa na thamani maradufu kulingana na pesa yetu ya madafu.
Wachana na maneno ya mataani kuwa pesa ya Zambia aina thamani.
Naongea kwa kujiamini kwasababu nimeishi zambia kwenye miji ya Lusaka, livingstone na Ndola.
Sent using Jamii Forums mobile app