kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
Muulize kama anapenda mapera
hah hah hah hah...
Muulize kama anapenda mapera
Ukifika karibu yake unamwambia..nakupenda halafu unakimbia
Ukifika karibu yake unamwambia..nakupenda halafu unakimbia
Mh...Jembe, anza na sms za utundu, wish gud night kwa sana(daily kabla hajalala), asubuhi mjulie hali even kwa sms muulize ameamkaje? mkishazoweana kidogo omba kukutane nae sehemu kwa ajili hata ya kinwaji then unafunguka!
Bac mi huwa naenjoy kweli nkitongozwa na mtu wa aina yako lol........ kaza moyo kaka, jipange.
kwanza ni udhaifu mkubwa kutumia phone kumtongoza kwa mwanamke mwerevu atakupunguzia marks,do it face to face.pili kutongoza hakuna formula it depends on circumstances,utakavyomkuta ndo utaanza hivyohivyo
dah acha utani bwana! wee una umri gani? maana nahisi bado mdogo na sijakuelewa vizuri unamuogopa au unampenda?? tokea lini ulisikia kitu unakipenda ukakiogopa?? nakushauri achana nae maana unamuogopa na akijuwa tu umekwisha hutaweza kujitetea badala ya mapenzi utakuwa mtumwa tafuta ambae hutamuogapa zingatia majuto ni mjukuu.
Wadau naombeni maushauri,najua binadamu tunatofautia uwezo wa kifikra,akili,ujasiri na mambo mengi.mi nampenda manzi mmoja hivi ni dada wa miaka kama 27 ofice zetu zinatizamana,huyu dada nimefanya mpango wa kupata phon namber nimefanikiwa,sasa kuanza inshu washkaji,si unajua tena kitu umekipenda kweli?inafikia wakati nikimuona namuogopa yani nastuka kinoma.
Naombeni maujanja bila kudai ni wakike au wakiume.
Ukifika karibu yake unamwambia..nakupenda halafu unakimbia
Kakangu pole pole unaweza ukakuta mambo siyo kabisaaaaa kwenye uwanja au ndio yale wanao sema kama hajui ntamfunza mwenyewe...yani kama atanielewa naoa kabisa bila kuja nitakacho kutana nacho ndani ya gem.hiyo itakua siri yangu.
dah, siku hizi kutongoza tu mpaka watu waombe tuition? ukiachiwa majukumu ya kuwa kichwa cha nyumba si ndiyo utakodi mtu akusaidie?
Hahahaha! Zingatia huu ushauri, Ukishindwa kabisa tupia contact zake hapa kwa mjanja amfanyie experiment.Ukifika karibu yake unamwambia..nakupenda halafu unakimbia