Naogopa hata kuonana nae

to

  • 1

    Votes: 3 75.0%
  • 2

    Votes: 1 25.0%

  • Total voters
    4
Mgegede alafu usimpee hela uone atafanya nini....
Baada ya hapo njoo uchukue ushauri wa kufunga kazi
 
Unamuendekeza huyo mwanamke! Kwanini uumpe hela kama mahitaji mengine unamtimizia?

Usimpe hela baada ya kumgegeda uone atafanyaje!!!
 
tatizo ni wewe mwenyewe unaanzaje kumpa hela mtu hajakuomba ?!!...sasa mwenzio umeshamzoweza vile kwa hiyo usilalame endelea kulipia kodi ya pango
 
Siku akiomba hela mwambie aje achukue, akifika muomne gegedo kwanza, lazima tu atakuwakia akisema," Kwa hiyo kunipa hela mpaka tufanye mapenzi?". Na wewe mjibu mbona we kunipa penzi mpaka nikupe hela mi nikajua chako kitakuokoa. Utamuona anakata mawasiliano na wewe kama alikuwa after money, kama ni mapenzi basi ataacha hako katabia.
 
Ulimzoesha mwenyewe! Ila zungumza nae ikiwa wamtimizia mahitaji yake mueleze linalo kukera kwake, atakuelewa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…