Naoa baada ya mwezi mlioko kwenye ndoa nasaha zenu please

satellite

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
616
164
Nafahamu maisha ya ndoa yana furaha na machungu yako(UP and DOWN),mabinti kwenye kitchen party huwa wanaelezwa kwa mapana na marefu juu ya maisha ya ndoa na uvumilivu wake nimemwomba mungu na naendelea kuomba kukabiliana na changamoto,mlioko kwenye ndoa mna experience nzuri ya maisha ya ndoa yalivyo na challenge zake pse mnaweza kushare nami challenge mlizokutananazo ili nami naetarajia kuingia kwenye huo ulingo niweze kuzikabili kama mlivyoweza nyie.

Nawakilisha!
 
Ina llah maaa sabirin :poa

Uvumilivu kitu muhimu sana :amen:
 
Aliyekudanganya mabinti kwenye kitchen Party huwa wanafundishwa mambo ya ndoa ni nani? Kitchen Party ni sherehe ya kukusanya vyombo na vya plastic havitakiwi na Wanawake kushindana kukata mauno uchi. kungekuwa na mafundisho ya ndoa basi ndoa nyingi zingenusulika zisisambaratike.
 
Kila la kheri mkuu, ningefurahi kama ningepata kadi ya mualiko kwa niaba ya JF team!
 
Aliyekudanganya mabinti kwenye kitchen Party huwa wanafundishwa mambo ya ndoa ni nani? Kitchen Party ni sherehe ya kukusanya vyombo na vya plastic havitakiwi na Wanawake kushindana kukata mauno uchi. kungekuwa na mafundisho ya ndoa basi ndoa nyingi zingenusulika zisisambaratike.

Mkuu matola nakubaliana na ww na ninalifaham hilo ila zipo familia zenye staha zinazofanya kitchen party kama sehem ya wosia ingawa zipo chache
 
ndoa hazifanani ndugu yangu....

Kikubwa muwe wawazi kati yenu....

Muheshimiane, kila mmoja akubali kujishusha (usidanganywe mwanaume haombi msamaba mwanaume hivi mwanaume vile)

asante, pole, samahani, nakupenda yatawale ndani mwenu...

Mthaminiane na kila mmoja amjali mwenzie, usimtendee mwenzio vile ambavyo hupendi kutendewa......

Kumbuka ndoa ni ya wawili, matatizo yenu muyakabili wawili sio mtangetange huku na kule kupeleka mambo yenu.... Ya ndani mwenu yaishie ndani mwenu..... Hata kama mkikwaruzana mkitoka nje mtu asijue chekeeaneni tabasamianeni...
Mkiamua mipango yenu wasije ndugu jamaa wakaipangua......

Chunga ndugu, wana nafasi yao ila wasiingilie ndoa yenu, muwaheshimu na wanapokuja kwenu wafuate sheria zenu...

Pangeni mipango yenu pamoja, amueni pamoja.....shikaneni nyie wawili....

Mwisho epuka virukanjia..... Siku hizi wanaume wakioa virukanjia ndo wanawapenda wanadai wanajua kuhonga na hawawabani, halahala msijeleteana maradhi
 
Ngoja nikupe BACHELOR PARTY bwana kaka, ukifuata haya, UTAZEEKA NA MKEO!!!!!

1. Mwanaume asifiwi SURA, ila UNENE wa WALLET na Bank ACC!!! Epuka KUFULIAAA! Utaitwa MWANAUME SURUALII!
2. Mwanamke hapigwi KOFI anapigwa na Lesswig au kiatu cha bei mbaya!
3. Fanya juu chini UMNUNULIE MKEO USAFIRI!!!! Barabarani nuksiiii!
4. Mwanaume hajibizani wala hapayuki, yeye KIMYA tuu na MATENDO!!!! Mkeo akikugombaaa usiondoke nyumbaniiii, mbebe juu juu kamalizieni hasira kitandaniiii!
5. Mwanaume si Mshindaniiii, MPE MKEO USHINDI WA MEZANIIII!!!!! Hapo utajiepusha na kukosa unyumba kwa siku kadhaa!
6. Mwanaumeee shurti UMZIDI MKEO AKILI, haswaa kwenye ugomvi mdogomdgo, dawa ya moto ni majiii!

NI HAYO TUUUUU!
 
Nafahamu maisha ya ndoa yana furaha na machungu yako(UP and DOWN),mabinti kwenye kitchen party huwa wanaelezwa kwa mapana na marefu juu ya maisha ya ndoa na uvumilivu wake nimemwomba mungu na naendelea kuomba kukabiliana na changamoto,mlioko kwenye ndoa mna experience nzuri ya maisha ya ndoa yalivyo na challenge zake pse mnaweza kushare nami challenge mlizokutananazo ili nami naetarajia kuingia kwenye huo ulingo niweze kuzikabili kama mlivyoweza nyie.

Nawakilisha!

We dogo, nikikupa ushauri utakuwa unahusiana ninachokijua kuwa kinafaa. Unfortunately, kitahusiana na mke wangu (na wengine wote watahusisha na wake zao). So, una mpango wa kumuoa mke wa nani humu? Kama unamuoa mwanamke tofauti basi mkajifunze (wewe na utakaemuoa) pamoja. Kwani utakaemuoa ameomba ushauri hapa vile vile?
 
Nafahamu maisha ya ndoa yana furaha na machungu yako(UP and DOWN),mabinti kwenye kitchen party huwa wanaelezwa kwa mapana na marefu juu ya maisha ya ndoa na uvumilivu wake nimemwomba mungu na naendelea kuomba kukabiliana na changamoto,mlioko kwenye ndoa mna experience nzuri ya maisha ya ndoa yalivyo na challenge zake pse mnaweza kushare nami challenge mlizokutananazo ili nami naetarajia kuingia kwenye huo ulingo niweze kuzikabili kama mlivyoweza nyie.

Nawakilisha!

Leo sijisikii kusema mengi, ila cha msingi kumbuka yale mambo mazuri yaliyokuvutia kwa mtarajiwa wako na yale ambayo yeye pia alivutiwa na wewe na akakupenda kwa hayo, myadumishe na kuyaimarisha maana haya ndiyo msingi wa upendo wenu na ndoa yenu.

Uvumilivu, kuheshimiana, kusaidiana, kuaminiana, kushirikishana, kutokusikiliza majungu ya watu na ndugu nk hayo huja kujaziliza tu hilo jambo nililolitaja hapo juu.

Nakutakia ndoa njema yenye upendo, furaha, mafanikio na isiyochakachulika!
All the best.
 
Ngoja nikupe BACHELOR PARTY bwana kaka, ukifuata haya, UTAZEEKA NA MKEO!!!!!

1. Mwanaume asifiwi SURA, ila UNENE wa WALLET na Bank ACC!!! Epuka KUFULIAAA! Utaitwa MWANAUME SURUALII!
2. Mwanamke hapigwi KOFI anapigwa na Lesswig au kiatu cha bei mbaya!
3. Fanya juu chini UMNUNULIE MKEO USAFIRI!!!! Barabarani nuksiiii!
4. Mwanaume hajibizani wala hapayuki, yeye KIMYA tuu na MATENDO!!!! Mkeo akikugombaaa usiondoke nyumbaniiii, mbebe juu juu kamalizieni hasira kitandaniiii!
5. Mwanaume si Mshindaniiii, MPE MKEO USHINDI WA MEZANIIII!!!!! Hapo utajiepusha na kukosa unyumba kwa siku kadhaa!
6. Mwanaumeee shurti UMZIDI MKEO AKILI, haswaa kwenye ugomvi mdogomdgo, dawa ya moto ni majiii!

NI HAYO TUUUUU!
Una akili sana wewe,halafu nikwambie kitu? You are my type of a woman!
 
ndoa hazifanani ndugu yangu....

Kikubwa muwe wawazi kati yenu....

Muheshimiane, kila mmoja akubali kujishusha (usidanganywe mwanaume haombi msamaba mwanaume hivi mwanaume vile)

asante, pole, samahani, nakupenda yatawale ndani mwenu...

Mthaminiane na kila mmoja amjali mwenzie, usimtendee mwenzio vile ambavyo hupendi kutendewa......

Kumbuka ndoa ni ya wawili, matatizo yenu muyakabili wawili sio mtangetange huku na kule kupeleka mambo yenu.... Ya ndani mwenu yaishie ndani mwenu..... Hata kama mkikwaruzana mkitoka nje mtu asijue chekeeaneni tabasamianeni...
Mkiamua mipango yenu wasije ndugu jamaa wakaipangua......

Chunga ndugu, wana nafasi yao ila wasiingilie ndoa yenu, muwaheshimu na wanapokuja kwenu wafuate sheria zenu...

Pangeni mipango yenu pamoja, amueni pamoja.....shikaneni nyie wawili....

Mwisho epuka virukanjia..... Siku hizi wanaume wakioa virukanjia ndo wanawapenda wanadai wanajua kuhonga na hawawabani, halahala msijeleteana maradhi
Alleluhya.
Wote semeni Eimen!
Ahsante mama mchungaji,umesikika.
 
kila ndoa ina challenge zake,hivyo usitegemee kukutanana the same challenges wanazokutana nazo wenzio,ht hivyo usijiaminishe sn kuwa kila ndoa lazima iwe ni msalaba kwa wahusika kwsbb unaweza kukuta ikawa tofauti kbs kwako. By the way all the best na Mungu akutangulie sn.
 
ndoa hazifanani ndugu yangu....

Kikubwa muwe wawazi kati yenu....

Muheshimiane, kila mmoja akubali kujishusha (usidanganywe mwanaume haombi msamaba mwanaume hivi mwanaume vile)

asante, pole, samahani, nakupenda yatawale ndani mwenu...

Mthaminiane na kila mmoja amjali mwenzie, usimtendee mwenzio vile ambavyo hupendi kutendewa......

Kumbuka ndoa ni ya wawili, matatizo yenu muyakabili wawili sio mtangetange huku na kule kupeleka mambo yenu.... Ya ndani mwenu yaishie ndani mwenu..... Hata kama mkikwaruzana mkitoka nje mtu asijue chekeeaneni tabasamianeni...
Mkiamua mipango yenu wasije ndugu jamaa wakaipangua......

Chunga ndugu, wana nafasi yao ila wasiingilie ndoa yenu, muwaheshimu na wanapokuja kwenu wafuate sheria zenu...

Pangeni mipango yenu pamoja, amueni pamoja.....shikaneni nyie wawili....

Mwisho epuka virukanjia..... Siku hizi wanaume wakioa virukanjia ndo wanawapenda wanadai wanajua kuhonga na hawawabani, halahala msijeleteana maradhi
si unajua kuwa mimi penda hii enh!mi wala siongei satelite chukua hii!itunze iishi!
SALA muhimu na LAZIMA!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom