satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Nafahamu maisha ya ndoa yana furaha na machungu yako(UP and DOWN),mabinti kwenye kitchen party huwa wanaelezwa kwa mapana na marefu juu ya maisha ya ndoa na uvumilivu wake nimemwomba mungu na naendelea kuomba kukabiliana na changamoto,mlioko kwenye ndoa mna experience nzuri ya maisha ya ndoa yalivyo na challenge zake pse mnaweza kushare nami challenge mlizokutananazo ili nami naetarajia kuingia kwenye huo ulingo niweze kuzikabili kama mlivyoweza nyie.
Nawakilisha!
Nawakilisha!