Nanunua mahindi

besaro

Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
53
Reaction score
40
Kwa mtu yoyote anayeuza mahindi ninanunua nipo dar bei ya kilo kwa sasa nanunua tani moja kwa laki mbili (200,00)
Yaani kilo kwa 200

Mawasaliano 0719076235, 0769825138
 
Yaani gunia la 100kg kwa Tshs 20,000/,
Duh
 
Kwa mtu yoyote anayeuza mahindi ninanunua nipo dar bei ya kilo kwa sasa nanunua tani moja kwa laki mbili (200,00)
Yaani kilo kwa 200

Mawasaliano 0719076235, 0769825138
Uku mikoani tu kilo sh 400, sasa we upo dar kilo iwe 200?
 
Huku Ngara kuna sehemu wanauza kilo 150.

Daah! Mkulima ana kazi sana. Silimi ng'o.

Labda nilime bangi ndio zina hela.
 
Hakika ama ulime kidogo kwa ajili ya kula.
Hata kidogo silimi kama naweza kupata kilo kwa 150..nalima kwanini sasa?

Nafikiri kuanza kulima bangi ili nikikamatwa hadi diwani afyeke shamba according to sizonje instructions.
 
Kwa mtu yoyote anayeuza mahindi ninanunua nipo dar bei ya kilo kwa sasa nanunua tani moja kwa laki mbili (200,00)
Yaani kilo kwa 200

Mawasaliano 0719076235, 0769825138
Kwa hali hiii

Mahindi toka sumbwanga
Gharama za ununuzi

Usafiri 9,000
Ushuru. 1500
Mfuko. 500
Upakiaji. 500
Ushushji. 500
Upimaji. 500

Jumla. 12,500

Uuuzaji - gharama=ununuzi

20,000-12500=7,500

[7500 ]. Je wewe kwa mkulima utanunuwa tsh ngapi





Shikamoooo Tanzania's
 
Ukisikia jizi na fisadi ndio hili yaaan wakati huu wa kupanda mahind sio kuvuna ambapo debe moja si chini ya 14000 we unataka tani moja kwa 200000 ??? Kia na huruma ni mahindi gani hayo hata bei ya pumba kwa kilo am sure ni zaidi ya 200 dah nimechukizwa manina zako
 
Mkuu debe kwa 14000 kwa mwaka huu bei haiwezi kufika huko
 
Bora niyabadilishe matumizi Kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…