Nanunua korosho, karanga, ufuta

Nanunua korosho, karanga, ufuta

BIGstallion

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
6,324
Reaction score
7,919
Habari wakuu

Kama kichwa habari apo juu, nanunua mazao hayo kwa bei nzuri, kama unakuanzia 500kg mpaka tani 20,nicheki pm tuzungumze biashara

Natanguliza shukrani

Cell No; +255766687168
 
Weka contacts zako hapo, sema karanga unataka aina ipi na bei gani unatoa na korosho hivo hivo habari ya pm utakosa watu
 
Weka contacts zako hapo, sema karanga unataka aina ipi na bei gani unatoa na korosho hivo hivo habari ya pm utakosa watu

We njoo pm hatuyashindwana,... Ila bei yangu ni 1800 mpaka 2000 na karanga n korosho iwe haijabanguliwa, ufuta uwe msafi usiwe na mchanga wala rangi rangi,...Cell +255766687168
 
Kuna jamaa nayeye anatangaza biashara lakini kwenye bei anakwambia NIFUATE PM sasa sijui ili iweje!
MKUU,kwani huko pm kuna nini?
 
UFUTA na CHOROKO
Tunanunua Ufuta na Choroko kwa kiasi chochote ulichonacho.

BEI YA LEO
Ufuta: 2,600/= kwa kilo
Choroko: 1,100/= kwa kilo

Karibuni sana.
0659890000
fmlyimo@gmail.com
 
Back
Top Bottom