frema120 JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 5,098 Reaction score 1,341 May 14, 2015 #1 Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.
Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii.
wiseboy. JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 2,931 Reaction score 4,549 May 14, 2015 #2 Kwa Tanzania sheria zinaruhusu.
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,512 May 14, 2015 #3 BOT kupewa mpya.
The Don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,499 Reaction score 1,172 May 14, 2015 #4 mie nauza maji ya kusafishia dollar chafu
Bahati furaha JF-Expert Member Joined Jul 11, 2012 Posts 3,077 Reaction score 1,438 May 14, 2015 #5 frema120 said: Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii. Click to expand... Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela?
frema120 said: Nikiwa kariakoo, nikajikuta nikipitiwa na kipaza sauti kikiimba wimbo huo, nikashituka sanaaaa. Kwani wanapeleka wapi hizo pesa, na inakuwaje wanunue pesa kwa pesa? sheria zinaruhusu kuchezewa hela kwa njia hii. Click to expand... Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela?
Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,359 Reaction score 2,379 May 14, 2015 #6 Upeleke wapi hizo mbofumbofu? Acha Sinema bwana....
mxsdk JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 3,585 Reaction score 2,054 May 14, 2015 #7 Kipi cha àjabu kilichokushutua?!
frema120 JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 5,098 Reaction score 1,341 May 14, 2015 Thread starter #8 Mr Eric. said: Kwa Tanzania sheria zinaruhusu. Click to expand... Sheria hipi mkuu?
frema120 JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 5,098 Reaction score 1,341 May 14, 2015 Thread starter #9 Bahati furaha said: Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela? Click to expand... Bid and ask ya huko, haiendani kabisa na hapa mkuu.
Bahati furaha said: Bureau de change wananunua hela kwanini, kama sio hela kwa hela? Click to expand... Bid and ask ya huko, haiendani kabisa na hapa mkuu.