Nanunua gari, nina milioni 5

Nanunua gari, nina milioni 5

Kuwa makini ktk kununua gari, especially km ndio mara yako ya kwanza kumiliki gari!

pitia kuna special thread ihusuyo magari humu jf, onana na kina mshana jr na mafundi wenzake kina Preta watakupa ushauri mzuri!
 
Last edited by a moderator:
Kuwa makini ktk kununua gari, especially km ndio mara yako ya kwanza kumiliki gari!

pitia kuna special thread ihusuyo magari humu jf, onana na kina mshana jr na mafundi wenzake kina Preta watakupa ushauri mzuri!
Aweke wazi anataka gari ya aina gani
 
Last edited by a moderator:
Nimecheka mpka watu wamenishangaa kwenye basi yaani wewe Preta siyo mzima fundi magari

He he he......wewe.......hujui mimi ni fundi eeeh...... BIGURUBE unadhani hajui anachosema..........
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    342.4 KB · Views: 722
Kama upo mwanza kuna jamaa ana shida hivyo anauza Rav 4 yake kwa mil 5.7.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom