Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,625
- 58,325
Kama ilivyo majumbani..maofisini au hata mtaani lazima kila mtu kuna watu anaowapenda (admire) zaidi ya wengine na wengine huwapendi (disapprove of ..get disgusted with...dislike) kwa mambo wanayofanya au wanavyoyafanya.Hii ni hali ya kawaida tu kwahiyo naamini hata hapa JF wapo wanokuboa kwa namna moja ama nyingine.
Kwahiyo swali langu ni hivi nani/kina nani hapa JF unawaADMIRE kiasi kwamba hata wakichangia thread ambayo wewe hujaifurahia utaingia tu ili kujua walichoandika wao?!
Na je kina nani michango yao na thread zao zinakuacha umeshanga tu na kujiuliza hivi huyu mtu vipi?!
Mi nakua wa kwanza kusema nnaowadmire ni wengi kuliko wanaonishangaza...kwahiyo hawa ntawataja baadae!Anaeniboaga ni NN au Nyani Ngabu ukipenda...yani mshkaji ye michango yake mingi inaashiriabye anajiona ni bora kuliko!Kila kitu anajua yeye...na kila mtu amsikilize yeye.Kama tungekua tunaongea kwa sauti ningesema ni mmoja wa wale watu wasionyamazaga na kumuacha mwingine aongee.Hata kama hajui kitu atajifanya na kungania anajua!
So
Next ni babu yangi ASIPIRINI...japo nampenda sana ila akianzaga kutetea infidelity basi naishia kutamani asingekua babu yangu nimpe kavu za uso!!Sorry babu...nimekua mkweli tu!!!
So vipi wewe......?!Usisahau sababu ili kama mhusika anaweza ajirekebishe au aendeleze libeneke kwa kinachofagiliwa!!
Kwahiyo swali langu ni hivi nani/kina nani hapa JF unawaADMIRE kiasi kwamba hata wakichangia thread ambayo wewe hujaifurahia utaingia tu ili kujua walichoandika wao?!
Na je kina nani michango yao na thread zao zinakuacha umeshanga tu na kujiuliza hivi huyu mtu vipi?!
Mi nakua wa kwanza kusema nnaowadmire ni wengi kuliko wanaonishangaza...kwahiyo hawa ntawataja baadae!Anaeniboaga ni NN au Nyani Ngabu ukipenda...yani mshkaji ye michango yake mingi inaashiriabye anajiona ni bora kuliko!Kila kitu anajua yeye...na kila mtu amsikilize yeye.Kama tungekua tunaongea kwa sauti ningesema ni mmoja wa wale watu wasionyamazaga na kumuacha mwingine aongee.Hata kama hajui kitu atajifanya na kungania anajua!
So
Next ni babu yangi ASIPIRINI...japo nampenda sana ila akianzaga kutetea infidelity basi naishia kutamani asingekua babu yangu nimpe kavu za uso!!Sorry babu...nimekua mkweli tu!!!
So vipi wewe......?!Usisahau sababu ili kama mhusika anaweza ajirekebishe au aendeleze libeneke kwa kinachofagiliwa!!