Mada mzuri, wacha kwanza nifanye hili na lile lakini ningependa kuweka kumbukumbu sawa kwamba, Taliban waliingia Afghanistani katikati ya miaka ya 90!
Lakini kwa ufupi ni kwamba, ISI wana mkono wao ndani ya Taliban! Na kwavile enzi zile ISI na CIA walikuwa wanaendesha pamoja covert ops, basi hata hao CIA nao wana mkono wao ndani ya Taliban kwa namna moja au nyingine!!!
Hapo pia huwezi kuiacha Saudi Arabia ambae nae alikuwa anafadhili hizi operesheni financially!!
Saudi Arabia, Pakistan (ISI), na USA (CIA), kila mmoja alikuwa na interests zake!
Lakini kwa ufupi ni kwamba, ISI wana mkono wao ndani ya Taliban! Na kwavile enzi zile ISI na CIA walikuwa wanaendesha pamoja covert ops, basi hata hao CIA nao wana mkono wao ndani ya Taliban kwa namna moja au nyingine!!!
Hapo pia huwezi kuiacha Saudi Arabia ambae nae alikuwa anafadhili hizi operesheni financially!!
Saudi Arabia, Pakistan (ISI), na USA (CIA), kila mmoja alikuwa na interests zake!