One night President Obama and his wife Michelle decided to do something out of routine and go for a casual dinner at a restaurant that wasn't too luxurious. When they were seated, the owner of the restaurant asked the president's secret service if he could please speak to the First Lady in private. They obliged and Michelle had a conversation with the owner.
Following this conversation President Obama asked Michelle, why was he so interested in talking to you. She mentioned that in her teenage years, he had been madly in love with her. President Obama then said, "so if you had married him, you would now be the owner of this lovely restaurant" , to which Michelle responded, "no, if I had married him, he would now be the President".
This confidence should be in each & every woman!!!!!
Michelle alikuwa sahihi....mama anajiamini sana na kusema ukweli kwa kumsikiliza ana nguvu na uwezo wa kumtengeneza Rais wa Marekani....usisahau...."Behind every successful man there is a strong,smart and intelligent woman".....!
I love her confidence....thanks DC!
Michelle alikuwa sahihi....mama anajiamini sana na kusema ukweli kwa kumsikiliza ana nguvu na uwezo wa kumtengeneza Rais wa Marekani....usisahau...."Behind every successful man there is a strong,smart and intelligent woman".....!
I love her confidence....thanks DC!
DC inawezekana in one way or the other ila kumbuka pia kulikuwa na Hillary Clinton ambaye ana influence kubwaAhsante Michelle,
Swali kubwa ambalo nimejiuliza ni hili, hivi Obama angemwoa mwanamke mwingine asingeweza kuwa Rais wa US? Na tukikubaliana na wewe ina maana kwamba uwezo alionao ambao ulimwezesha kuwa Rais aliupata kwa sababu alimwoa Michelle?
Nafikiria tu,....Mzee DC!!!
A woman as wellAnd who is behind a failed man?
Ahsante Michelle,
Swali kubwa ambalo nimejiuliza ni hili, hivi Obama angemwoa mwanamke mwingine asingeweza kuwa Rais wa US? Na tukikubaliana na wewe ina maana kwamba uwezo alionao ambao ulimwezesha kuwa Rais aliupata kwa sababu alimwoa Michelle?
Nafikiria tu,....Mzee DC!!!
Ahsante Michelle,
Swali kubwa ambalo nimejiuliza ni hili, hivi Obama angemwoa mwanamke mwingine asingeweza kuwa Rais wa US? Na tukikubaliana na wewe ina maana kwamba uwezo alionao ambao ulimwezesha kuwa Rais aliupata kwa sababu alimwoa Michelle?
Nafikiria tu,....Mzee DC!!!
Ukisoma vitabu alivyoandika na vilivyoandikwa na watu kwa kumuoji Obama utagundua ni dhaifu sana....ni mtu mwenye akili na uwezo wa kujieleza ila nguvu,discipline yake kwa kiasi kikubwa inatokana na Michelle na hilo amekiri yeye mwenyewe...personally,naamini angeweza kuwa Rais wa marekani angekuwa amemuoa mwanamke mwingine mwenye sifa za Michelle....!!
NN sidhani maana hata Hillary alikuwa ni stronger kuliko Obama(mtazamo wangu)Of kozi angeweza.
Je, Michelle anaweza kuwa raisi wa Marekani kama alivyotaka kuwa Mama Clinton (my girl)? I don't think so.....
Michelle Obama is overrated. And Obama is not as weak as you want us to believe. Na hata kama yeye kakiri sijui nini kuhusu mkewe, well, wewe ulitegemea aseme nini? Yule ni mkewe na lazima atammwagia masifa tu. Hata Bill Clinton anammwagia masifa Hilary. Vivyo hivyo kwa George W Bush na Laura.....
NN sidhani maana hata Hillary alikuwa ni stronger kuliko Obama(mtazamo wangu)
ha ha ha ha ha, Overrated???? what about the eloquent,committed idealist Obama??
.....simuongelei Michelle kwa kuzungumzwa na Obama tu bali hata na wanafunzi wenzie aliosoma nao na wale aliofanya nao kazi na hata friends......Obama is weak/coward.....thats what i believe and i do not want you to believe it....coz my salary does not depend on you believeing that....!!:yawn:
NN sidhani maana hata Hillary alikuwa ni stronger kuliko Obama(mtazamo wangu)