Headless Person
JF-Expert Member
- Nov 30, 2012
- 307
- 58
Mkuu taja hata mwenye afadhali kidogo ukilinganisha na wenzake.Hakuna hata mmoja wote ni wanafiki tu.
1. mwakyembe waziri wa uchukuzi
2. balozi kaghasheki waziri wa maliasili na utalii
3 prof sospeter muhongo waziri wa nishati na madini
Ashushe bei ya umeme kwanza ndipo tutambua ubora wake.Prof. Sostene Muhongo...
Mkuu ungemtaja waziri mmoja tu aliye bora kuliko wengine.1. mwakyembe waziri wa uchukuzi
2. balozi kaghasheki waziri wa maliasili na utalii
3 prof sospeter muhongo waziri wa nishati na madini
Mkuu mada yangu inawahusu mawaziri wa serikali iliyoko madarakani. Haiwahusu mawaziri vivuli.Waziri kivuli wa katiba na sheria Tundu lisu.
Nashukuru kwa mchango wako. Vipi kuhusu naibu waziri bora?Mwakyembe- at least tuna treni jijini Dar es salaam japo alicheleweshwa na mafisadi pamoja na kuwekewa polonium, yet amefanya kazi.
Waziri kivuli SuguMkuu ungemtaja waziri mmoja tu aliye bora kuliko wengine.
Mkuu ni vema pia kama utatueleza na kazi walizofanya mpaka ukawakubali.Januari Makamba,
Dr. Mwakyembe
Topic inawahusu mawaziri wa serikali. Be seriousWaziri kivuli Sugu