Nani wa CCM aliye na uchungu na nchi hii?

Nani wa CCM aliye na uchungu na nchi hii?

Kelvin Temba

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
79
Reaction score
13
Ukitaka kura za wananchi wewe mgombea Uraisi wa nchi hii wahakikishie wananchi kwamba huna pesa nje ya nchi hii, uwe na ujasiri wa kuwakemea walio na pesa nje ya nchi na uwape siku 30 wazirudishe. pia waambia wananchi maoni yenu yaliyotupwa na bunge la katiba yatarudihwa hasa yale yaliomo katika rasimu ya katiba ya warioba. walio kula pesa za escrow na richmond utawashughulikia katika kipindi cha mwezi mmoja Kama wewe mgombea uraisi wa ccm huwezi kusema katika hayo, basi watanzania mfunguke akili zenu hawa ni watawala wa kulindana
 
Ukitaka kura za wananchi wewe mgombea Uraisi wa nchi hii wahakikishie wananchi kwamba huna pesa nje ya nchi hii, uwe na ujasiri wa kuwakemea walio na pesa nje ya nchi na uwape siku 30 wazirudishe. pia waambia wananchi maoni yenu yaliyotupwa na bunge la katiba yatarudihwa hasa yale yaliomo katika rasimu ya katiba ya warioba. walio kula pesa za escrow na richmond utawashughulikia katika kipindi cha mwezi mmoja Kama wewe mgombea uraisi wa ccm huwezi kusema katika hayo, basi watanzania mfunguke akili zenu hawa ni watawala wa kulindana

Nanukuhu imeandikwa ktk kitabu cha dini "wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii" #tafakaritanzania # #2015imefika # #wakatindiyohuusasa # #kurayakondiyomwokoziwako # #usifanyemakosa #
 
Back
Top Bottom