Nani unamu-admire hapa JF?

Hahahaha ile ukiliona ndo limefungasha wowowo alafu unapigwa wimbo ule piga bastola waaaaaa dah mimi huwa nalewa kabisa

Eewaaaa halafu sasa inapofikia pale Mohamed Mauji, Chidi Boy, Jay Foo, na Thabiti Abduli wanaponogesha kwa kucharaza magitaa na kubonyeza kinanda mzuka hupanda kweli kweli.
 

YOU wish...!
 

gunfight at Oak Corral,may the best gunslinger live on to tell the tale
 
Mi nikiingia hapa na kuwakosa hawa wa kila siku Husninyo,Dena,NN,CPU Michelle na Lizzy panakuwa panapooza,nikitaka kucheka natafuta posts za Kloro na Rose.Kuna hawa wa msimu Cheusi,Fidel,Aspirin napenda kuwasoma.Kuna Nemo lazima atakuwa wakili bila kuwasahau Nyamayao,MJ1 na Mbu.Pauline na Keren napenda tabasamu lao.Sichukii mtu wala kuboreka na mawazo ya watu najuwa kila mtu ana siku zingine mbaya maishani.Kidogo nimsahau Asha D workmate wangu anaekuja kwa kasi nauadeisi.
 
Upende usipende ndo mfumo Mungu aliweka. Our differences make the world very attractive. Kama mwili wote ungekuwa macho, bila miguu, usinge jongea. Na kama mwili wote ungekuwa masikio, usingeona.

TOFAUTI ZETU TULIZO NAZO NDIZO ZINATUTOFAUTISHA.
 

Muheshimiwa uporoto, hawa wa "msimu" unamaanisha nini?

Mi msimu wa masika, netiweki huwa inaishia kwenye matikiti....so am sorry.
 
i have learn to admire ideas and not the person! This makes it easier kumkosoa mtu! Kuna watu wana ideas nzuri sana huku, watu wana-challenge thinking yako.
 

sijui hii imekaaje maana wanokubore wewe mimi nawadmire noma!!!!!!kwenye list yako muongeze na fidel 80 alafu nanani tena.......?wajua!
 
Naamanisha tungependa kuwaona zaidi mkiwa araundi.

Hivi kuna lijitu liko online na lililokuwa adiktedi na JF kama li-kidonge asipurini? Hebu angalia hii red hapa down:

Location : Martenity Ward
Posts : 13,743
Thanks:
4,906
Thanked 5,945 Times in 3,859 Posts
Rep Power : 52
 
Yakhe mie napenda zile thread ambazo ni zenye maadili! ila siwapendi wale jamaa ambao ni wagumu wa kutoa thanks na wengine ni wale ambao walikipigia kura kitufe cha GROAN eti kirudishwe!!!
 
Yakhe mie napenda zile thread ambazo ni zenye maadili! ila siwapendi wale jamaa ambao ni wagumu wa kutoa thanks na wengine ni wale ambao walikipigia kura kitufe cha GROAN eti kirudishwe!!!

Hahahahaah....mi mmoja wapo!!
 
Hivi kuna lijitu liko online na lililokuwa adiktedi na JF kama li-kidonge asipurini? Hebu angalia hii red hapa down:

Location : Martenity Ward
Posts : 13,743
Thanks:
4,906
Thanked 5,945 Times in 3,859 Posts
Rep Power : 52
Hapo si kutoka 2008 ? lakini miezi ya karibuni kidonge kinachohakikisha hupati ugonjwa wa moyo kama unameza huonekani vilivyo kibande hii.
 
Hapo si kutoka 2008 ? lakini miezi ya karibuni kidonge kinachohakikisha hupati ugonjwa wa moyo kama unameza huonekani vilivyo kibande hii.

Hahahahaha...we ni mdogo wake O'campo? Duh........hahahahaha!

Ni mkoloni tu anabana swahiba lakini nipo nipo kwa sana tu!
 

heheh mwalim wangu wa sayans jamii alinambia mwanamke akisema unamboa basi ujue mambo mazuri, haya njoo PM haraka husninyo tuboane kijitu kizima sasa.

bek to ze topik: wananiboa kweli ambao hawajibu PM.
 
heheh mwalim wangu wa sayans jamii alinambia mwanamke akisema unamboa basi ujue mambo mazuri, haya njoo PM haraka husninyo tuboane kijitu kizima sasa.

bek to ze topik: wananiboa kweli ambao hawajibu PM.
Kamanda we juzi tu si ulikuwa unapeleka posa kwa kina Michelle ? halafu Hus anapendwa na masharobaro alianzaFigganigga na leo Sharohiphop kamzimikia/dondokea kule Chitchat hahaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…